Ni sababu ipi muhimu sisi wazazi tunakuwa na mtoto zaidi ya mmoja?

Kuwa na mtoto zaidi ya mmoja sababu ni hizi;

1)Agizo kutoka kwa M/Mungu i.e Zaeni muongezeke mkaijaze dunia.

2)Unapanua ukoo/ jina.

3)Ukiwajengea msingi imara wa upendo watasaidiana wao kwa wao kuliko ukikazaa kamoja halafu ukafariki.

4)Ni raha kuwa na watoto angalau watatu au wanne na wawe jinsia tofauti (Ke na Me).Ke atabeba majukumu ya mama na Me atabeba majukumu ya baba.
 
Kuzaa mtoto mmoja hadi kizazi cha binadamu kitoweke kabisa inakadiriwa itachakua karibia miaka 1000 , ni mingi sana.
 
Hapa tatizo ni umaskini wa wazazi wala sio idadi chache ya watoto. Matajiri hata wasio na watoto wanaweza kuhudumiwa kwa huduma bora kabisa katika wakati wowote na hali yoyote.
 
Tatizo hapa ni umaskini, sio idadi ya watoto.
 
Tumezaliwa sita mpaka sasa mzee hana mtu anaydkaa nae karibu yaani kila mtu kala kona .. Mpaka nina mpango nihame kikazi nikawape tafu kidogo.

Mzee mmoja jirani ni muarabu ana wanae hajawahi kuwaona tangu mwaka 2000 mwanzo wapo Marekani , wengine oman ana watoto watatu...Mara ya mwisho walimletea coaster za abiria kama 3 hawajarudi tena hata mawasiliano hana kabisa ila wanakaa na mama yao maana waliachana na huyo mzee jirani
 
Kuzaa mtoto mmoja hadi kizazi cha binadamu kitoweke kabisa inakadiriwa itachakua karibia miaka 1000 , ni mingi sana.

Katika hesabu za maisha ya species kama watu, miaka 1,000 ni muda mdogo sana.

Yani, ukipiga hesabu kuwa watu wamekuwapo kwa miaka 200,000 iliyopita, hiyo miaka 1,000 ni 0.005% tu.

Yani, ukifanya hiyo historia ya miaka 200,000 iwe sawa na siku moja ya saa 24, hiyo miaka 1,000 ya mwisho ni sawa na dakika 7.2 za mwisho za siku.

Yani tumefikia saa tano na dakika 52 na sekunde 48 usiku, tunaelekea midnight, halafu wewe unasema hizo dakika chache zilizobakia ni nyingi sana.

Pia.

Hapo ni kabla ya kuweka hesabu za pandemic litakalokuja na kusaidia kufyeka idadi ya watu wengi sana.
 
Mi nanao wa nne ndani,wanna nje!
Bado nataka wanane wengine Toka nyumba ndogo!!
Mind set!
 
Dah [emoji23][emoji23]
 
Labda pia katika kipindi hicho zitatokea vumbuzi ambazo zitapunguza binadamu kuzeeka na kurefusha kiwango cha maisha ya binadamu kwa miaka mingi sana. Kuna wanasayansi wamejichimbia katika tafiti za immortality zinazofadhiliwa kwa mabilioni ya dola na matajiri.
 
Unapozaa mtoto mmoja lazima ujue duniani Kuna mengi , mfano Kuna kifo ambacho kinaweza kuchukua huyo mmoja na ukabaki mtupu.

Na madhara ya kukosa familiar huwa yanaonekana kipindi cha uzee wetu.
 
Nyenye nyenye nyenye mshamba mkubwa weeee, mnajikuta wazungu kisa ni wakoloni wao, nyie ni nyani tu mbele ya macho yao, kenge kama wewe ulokosa nguvu za kiume unataka kuwaaminisha ujinga wako mazumbukuku wenzio eti mtoto mmoja fyoko fyoko,

Pathetic.
 
Inaweza kujirudia watu wakaanza kuishi mamia ya miaka kama wa kwenye Biblia[emoji1787], labda miaka 900 hivi kama kina Methuselah wa Biblia.
 
Mm ninao watoto 3 wote wa kike maisha yangu ni ya kati yanayonifanya niweze kuwahudumia kwa kadiri hawa mabinti.

Katika fikra zangu za ujanani nilipenda sana niwe na mtoto 1 na nilikuwa nikitamani awe binti.

Hivyo nilipopata mtoto na akawa Binti nilifurahi na kuamini mawazo yangu yatatimia. Lkn sivyo alivyokuwa akiwaza mwenzangu.

Lkn leo hii NATAMKA WAZI, kama unayo Mali jenga BOMA kuwa na Mwanamke Zaidi ya 1 hata wakifika 10 zaa kadiri ya maandiko .

Inapendeza sana .
 

Yeah. Hatuwezi kutabiri sayansi na teknolojia itatupeleka wapi, mengi yatakayowezekana baafaye hata hatujaanza kuyaelewa vizuri sasa.

Kuna sayansi ya cryogenic ya ku freeze watu kwa miaka mingi mpaka uwezekano wa kuwafufua utakapopatikana.

It's a bit like mummifying the Paharaohs if you ask me.

Elon Musk anataka kufanya watu wawe "multi-planetary species". Yani tuwe tunaishi katika sayari zaidi ya moja.

Ili sayari hii, kwa mfano, ikipigwa na kimondo kikubwa na kupata "extinction level event" itakayomaliza maisha ya watu wote hapa duniani, kuwepo na watu walio katika sayari nyingine kuendeleza kizazi.

Kwa sasa wote tumekaa kwenye sayari moja, sayari ikipata daflao la kumaliza maisha ya watu wote, hatuna backup ya kuendeleza kizazi kwenye sayari nyingine.

Unaonaje huu mpango?

Una mantiki ya kutufaa au ni kupoteza mabilioni ya dola tu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…