Kuna goma lilikua linaitwa Msafiri la kitambo sijui nani kaimba ile, mwenyenayo tafadhari
Sugu - hayakua mapenzi
Na kuna goma walikua wanaimba "Hip hop sahihi ...." sikumbuku ni ya nani?
Gangwe Mobb ft Nasma Khamis Kidogo-VidongeMwenye nayo aiweke....rap fulani chorus kuna dada kasimama "wape wapeeee vidonge vyao"
Shakii na Avir sio...Kuna wale washkaji walkw wanaimba kwa kupokezana kwa style ya komedi sijui wamepotelea wapi sikuhiz, na sijui wanaitwaje
Iweke papaaGangwe Mobb ft Nasma Khamis Kidogo-Vidonge
Sure, Naoma kuna watoto wanaleta habari za Mr. Blue hapa. Tafuteni uzi wenu wa flavors. Hapa ni hip hop za long time.Kuna Tofauti Kati ya Bongo flavor na Bongo Hip Hop tusichanganye
Fanya hivyo rasta,ni kali kwangu
Joh Makini - Dakika 90 hii naitafuta sanaNyingine hizi
Mzee naona umeshusha Jisachi,,,kipindi hicho platinum bado anachanaHizi hazijaombwa lakini huenda zikawafaa
Hahah pande zp ulikuwa mkuuUMENIKUMBUSHA ENZI NAKULA GANJA...NDANI nlikuwa sikosi stock lita 3