Kuna wimbo mmoja unaimba dunguru dunguru du Basupa wa wenge musica, naombeni jina lake please.
 
 

Attachments

wa,dau kina nyimbo alikuwa anaitumia gadna g abassh kama back ground akiwa anaongea, ktk jahazi enzi zile, anajejua anitumie, sikumbuki jina
 
Mwenye wimbo Wa wachuja nafaka uitwao 'ya Leo kali' anisaidie pliz nmeutafuta mwaka Wa pili huu cjaupata
 
Natafuta saaana nyimbo ambazo mara nyingi zilikuwa zikipigwa kwny kipindi cha *mtaa wa mangoma* pale radio one na mzee mzima deogratius rweyunga
 
Kuna wimbo wa mr blue wa kwanza kabisa unaitwa blue blue. Sijawahi kuupata
 
ginnery mi naomba ile ya Dora kumi kila siku, unaishia kunibipu apigiwa nani? Nikuulizapo huja juu. Solo thang huyo
 
Kuna nyimbo ya kuabudu inaitwa Hosana ndie Mungu wetu ameimba chidumule kama sikosei, mwenyenayo please
 
 

Attachments

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…