Tuma link! Utakuwa umesaidia wengi.Kwa mwenye uhitaji wa nyimbo za zamani (1990 - 2010) za Bongo Flavor anicheki kwa namba hizi 0682277495 nitamuunga katika magroup ya maktaba ya nyimbo hizo.
Tumia no hizo kwa WHATSAPP / TELEGRAM ONLY
HiiHabari wapendwa!
Kuna wimbo nimekuwa nikiutafuta sana, sina hakika na jina lake ila una mashairi yanasema " Rhoda mpenzi wangu Rhoda, umasikini sikuomba kwa Mungu, Umasikini wala si kilema, Wakusema nitakufa nacho, Siku moja nitakua tajiri, Ntanunua gari la benzi, kama lile nililo ona, Mlangoni kwa kina Rhoda" Nimejaribu utafuta huu wimbo youtube bila mafanikio, mwenye nao akinisaidia kuuweka hapa atakua ametenda vyema.
Ndio hiiHabari wapendwa!
Kuna wimbo nimekuwa nikiutafuta sana, sina hakika na jina lake ila una mashairi yanasema " Rhoda mpenzi wangu Rhoda, umasikini sikuomba kwa Mungu, Umasikini wala si kilema, Wakusema nitakufa nacho, Siku moja nitakua tajiri, Ntanunua gari la benzi, kama lile nililo ona, Mlangoni kwa kina Rhoda" Nimejaribu utafuta huu wimbo youtube bila mafanikio, mwenye nao akinisaidia kuuweka hapa atakua ametenda vyema.
Ni hiiHabari wapendwa!
Kuna wimbo nimekuwa nikiutafuta sana, sina hakika na jina lake ila una mashairi yanasema " Rhoda mpenzi wangu Rhoda, umasikini sikuomba kwa Mungu, Umasikini wala si kilema, Wakusema nitakufa nacho, Siku moja nitakua tajiri, Ntanunua gari la benzi, kama lile nililo ona, Mlangoni kwa kina Rhoda" Nimejaribu utafuta huu wimbo youtube bila mafanikio, mwenye nao akinisaidia kuuweka hapa atakua ametenda vyema.
Kama nyimbo gani unazitafuta za Sophia GeorgeSophia Jorge Albam ya miaka 90'nimetafuta sana napata nyimbo moja tu ya garly galry Msaada wadau
tunaogopa mamluki na watoto wa juzi.! nicheki whatsappTuma link! Utakuwa umesaidia wengi.
Uuuyeh, i wish Jappy Birthday... mimi hiyo.. ila kama alivyotangulia mdau kama alb inapayikana ipatikane tuuKama nyimbo gani unazitafuta za Sophia George
Swing swing wameimba kleptomaniax, ukitafuta unaupata.nautafuta sana huu wimbo una maneno haya'' swing swing mziki ni bomba,,,,,ww rafiki acha kuzubaaa dada amshaaaaa hizo ni kachaaaaaa''
Habari mkuu! Naomba uweke wimbo Risa wa R. Tonny.Nitakuchekia nikiupata ntakuwekea mkuu. Thanks.
Waoooo jamani Asante ngoja nikausachiWimbo unaitwa Maria Tebbo na mwimbaji anaitwa Sam Mangwana