Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?
Kuna bongo flava moja kiitikio chake kina lyrics zifuatazo

"Nilijaribu kukupenda lakini kumbe ilikuwa changa la macho, kwanini umeamua kulisaliti langu penzi, sikujua"

Aneujua anitajie jina na msanii alieuimba
 
Kuna wimbo nautafuta, sijui unaitwaje ila ni wakitambo kidogo, na waimbaji ni mdada mmoja mwenye asili ya Asia, (china/Korea au Japan) akishirikiana na jamaa mmoja mwenye asili ya Africa ,naomba mwenye kujua jina la wimbo huo na waimbaji anisaidie
Tuma voicenote.. japo melody ya wimbo
 
Sophia George hajawahi kuimba wimbo huo,ni Wahindi wa Bongo ndio walifanya kitu kibaya sana kwa tamaa zao za utajiri walichukua albamu ya msanii mwingine na kuweka picha ya Sophia George kwenye hio albamu wakawa wanauza kama albamu ya Sophia George.ukweli ni kwamba albamu yote ile haikuwa ya Sophia George,ilikuwa ya msanii mmoja anaitwa EVI EDNA OGHOLI,kutoka Nigeria ameibiwa sana huyu dada na watu wenye tamaa. Msachi YouTube utaziona nyimbo zake zote ulizo zisikia kwenye ile albamu.
ok naomba unijuze ya sophia hata moja.
 
Sophia George hajawahi kuimba wimbo huo,ni Wahindi wa Bongo ndio walifanya kitu kibaya sana kwa tamaa zao za utajiri walichukua albamu ya msanii mwingine na kuweka picha ya Sophia George kwenye hio albamu wakawa wanauza kama albamu ya Sophia George.ukweli ni kwamba albamu yote ile haikuwa ya Sophia George,ilikuwa ya msanii mmoja anaitwa EVI EDNA OGHOLI,kutoka Nigeria ameibiwa sana huyu dada na watu wenye tamaa. Msachi YouTube utaziona nyimbo zake zote ulizo zisikia kwenye ile albamu.
Ni kweli na ndio leo nimelijua hilo... Hawa wahindi walishaniingiza chaka kwa kuchukua nyimbo za wasauzi na kuzipa jina la wanamuziki wa Reggae Provebial nilihangaika sana kuzipata.
 
ok. hautalala bila kuusikia.. nitakuongeza na nyimbo yake nyingine yakuitwa Chumbani
Shukrani sana mkuu. Alafu kuna wimbo niliusikia sana kati ya 2010 na 2011, nakumbuka kiitikio
"Nitalia, nitaposikia
umeunganishwa na jina langu".
Nahisi unaitwa Makange, na ameimba mdada flani hivi hata jina silijui.
 
Haya Link ya Group la Nyimbo za Zamani za Bongofleva.. TELEGRAM!!

Shukraan jamaa! Kuna na lile lingine linaitwa UKWAJU WA KITAMBO
 
Habari wandugu,natafuta ngoma moja kali sana ya one the incredible-mlimbwende rmx,ni ya muda kidogo,nitashukuru.
 
Back
Top Bottom