Nilichojifunza Nanenane: Kufanya Kazi Halmashauri ni kupoteza muda na kukaribisha umasikini tu

Kasome "multiplier effect" kwenye uchumi.

#YNWA
 

Sijaongelea mapato nje ya kazi.
Kwa mapato nje ya kazi kila mtu ana akili zake na wizi wake.

Naongelea ile Equality mbele ya serikali ya CCM.

Mbele ya serikali ya CCM watumishi wa TAMISEMI ni makapuku, ndio maana mwenye bachelor kama yako ana mshahara mara mbili kuliko ule uupatao halmashauri.

Achana na side hustle za watu (kila mtu na akili zake)

Nazungumzia kipato cha kazini.

#YNWA
 
Kwanini usijiajiri mkuu? Naamini mishahara kwa watumishi wa umma imepishana kidogo kwa kada husika,labda uwe mwanasiasa ndio utapiga pesa.

Lakini katika ajira za kutumikia umma wote tupo katika mtumbwi mmoja

Hapana hayupo wote mtumbwi mmoja.
Mfano:-
Wewe na Mimi wote tuna degree ya uchumi kutoka chuo kimoja.
Tukaajiriwa serikalini.
1. Aliye ajiriwa TAMISEMI (halmashauri = Afisa mipango) mshahara ni TGS D (745K - 780K)
2. Aliye ajiriwa BRELA (Taasisi = Registration officer) mshahara ni 1.6Mil - 1.8mil

Ni mtumbwi mmoja gani huo usemao?

#YNWA
 
Tatizo huko Tamisemi ajira zake zinapatikana kiurahisi, hakuna cha kutazama wenye GPA kubwa, hakuna cha kufanyiwa interview, yaani mnazolewa wote kama kumbikumbi.
Hujui usemalo
Mimi niliajiriwa halmashauri kwa interview za written na oral.
Ukiwa unaandika uwe Unafanya kwanza uchunguzi.

#YNWA
 
Mpaka madereva wanatushinda kwa posho
 
Ukifanya kazi Halmashauri,halafu ikawa Halmashauri ya vijiji mchoko, Kama Kilimanjaro unakuwa mtumishi daraja la mwisho kabisa.
Kwani Halmashauri za Kilimanjaro ni choka mbaya sanaa?

#YNWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…