Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
- Thread starter
-
- #361
Kasome "multiplier effect" kwenye uchumi.Maonyesho yoyote yanatafuna Sana hela. Ningekuwa kiongozi ( jambo ambalo siwezi) ningefuta maonyesho yote na semina na warsha zote zifanyike online with zero cost. Watu wanasafiri, wanalipwa nights, wanaandaa mabanda ya gharama, wanahamisha VIFAA vya ofisi mwishowe wanayavunja mabanda hayo utafikiri ni zile nyumba za udongo za watoto.
Lakini kiukweli nimeupenda sana huu uzi.
Basi ni wewe tu na hiyo Halmashauri yako unayotoka ndio mma njaa. Mbona wengine wamelala sehemu nzuri tu ma tumekuwa rate ya 220,000. Mbona rate za sasa zinafanana kwenye taasisi zote zinaanzia 100,000- 250,000 per day. Muonekano wa Mabanda unategemea na maandalizi ya Halmashauri ila usi generalize.
Kwa mwaka wangu wa 20 kufanya kazi Halmashauri, Halmashauri sio kubaya ila inategemea na wewe unajishughulishaje baada ya kazi. Kama baada ya kazi unapiga masanga huku kuitegemea Posho na mshahara au mipigo utaendelea kuwa maskini na mlalamikaji ila ukijishughulisha nje ya kazi, mambo bum bum.
MUM ndio wapi?Utakuwa umesoma MUM wewe maana sio bure kwa jinsi unavyolia lia.
Kwanini usijiajiri mkuu? Naamini mishahara kwa watumishi wa umma imepishana kidogo kwa kada husika,labda uwe mwanasiasa ndio utapiga pesa.
Lakini katika ajira za kutumikia umma wote tupo katika mtumbwi mmoja
Hujui usemaloTatizo huko Tamisemi ajira zake zinapatikana kiurahisi, hakuna cha kutazama wenye GPA kubwa, hakuna cha kufanyiwa interview, yaani mnazolewa wote kama kumbikumbi.
BOT, NSSF, PSSSF, RITA, NIDA Hawa wanazalisha nini?itaje hiyo taasisi
Upo juu ndugu msomi.Mwl. hizi ndio product mnazozitoa? [emoji3][emoji3]
Maendeleo, Uyole na Mbalizi.Kwo umelala maendeleo AU MAKUNGURU?
Sijawahi fanya Kazi huko.Huyu atakuwa idara ya uchumi na mipango bila shaka🤣🤣
Kuwa na nyumba ndio uzuri?Mdg angu mm anafanya Kaz kati moja ya halmashauri ulizotaja hapo kjin Yuko vzr mno mkoko ,nyumba nxuri anayo kwa kifupi anapambna mno
Fala wewe ,🤣🤣🤣Umenena vema wafanyakazi wa halmashauri ngozi zenu zimefanana na filigisi za kuku
HahahaFala wewe ,🤣🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]KATAA NDOA
NDOA NI UTAPELI
Mpaka madereva wanatushinda kwa poshoHakuna asiyetaka maisha mazuri.
Juzi nimelalia Mbeya pazuri.
Nikiwa Niko full na Castle lite zangu kichwani nikamropokea mkurugenzi wangu ""Uchaguzi wa 2025 hauwezi kunikuta kwenye halmashauri yako" yaani Mimi na li-masters langu nifie kijijini. HAIWEZEKANIII
Aliniangaliaaa akanijibu "Pombe hizo" [emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
#YNWA
Rizika na mshahara wako bro, angalia usije uza utu wako kwa ajili ya pesa.Mpaka madereva wanatushinda kwa posho
Ukifanya kazi Halmashauri,halafu ikawa Halmashauri ya vijiji mchoko, Kama Kilimanjaro unakuwa mtumishi daraja la mwisho kabisa.Rizika na mshahara wako bro, angalia usije uza utu wako kwa ajili ya pesa.
Kwani Halmashauri za Kilimanjaro ni choka mbaya sanaa?Ukifanya kazi Halmashauri,halafu ikawa Halmashauri ya vijiji mchoko, Kama Kilimanjaro unakuwa mtumishi daraja la mwisho kabisa.