Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Nilimkuta mke wangu ni bikra kabisa yaani hymen iko slide kabisa kwahiyo mimi ndiyo nilikuwa mtu wa mwanzo kumtoa hiyo bikra ila na bado wahuni wimechapa bila hata ya kupindisha kabisa ila masela ni michosho sana.

Labda sijui ni laana ya kuhasi uparoko wala hata sijui kuna moment katika maisha yangu nilipangiwa kuwa paroko ila nilipiga chini nikaoa mwanamke ambaye sio bikra yeye nae ni kipengele sana yaliyonikuta sio poa kabisa aiseee.
 
I feel your pain...
i feeeel your pain braza
tapatalk_1488873578481.jpeg
 
Atakuwa alikamulia malimao we ukadhani ana bikira. Pole ndo ukubwa uo
 
Wanachapiwa wake Marais (kamuulize zuma) wenye walinzi everywhere sembuse wewe kisa Bikram ....hulka ya mwanadamu ni ubinafsi...Bikram hutolewa na viboo lazima atafute buldoza imchanechane ndani bila hivo kazibure
Dah mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Dah mkuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
ukitaka ufe mapema fuatilia habari zamke uliyemwoa sisi tuliooa bila kuiga ,tunaraha Sana anavotoka mkewangu hua namkumbusha Hawa watoto wadogo sana uwepowetu duniani nimuhimu sana , namwambia AFYA ni faraja kwenye kipimajoto chako kondom zimo ? ...huishia kucheka ujumbe umefika
 
Back
Top Bottom