Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

ukituambia mitaa gani tunaweza sema kitu maana mitaa inaongea!!!!
 
Nawewe unaenipanga kwa njia kama hii ya jamaa najua umesoma huu uzi so be care. Ukweli utakuweka huru
 
Kweli kuna raha ya kuanza mali ila ukiktuta ishafunguliwa haina haja ya kuvimba unamvimbia aliyemfungua na wenzetu walivyo akiona hvyo anaweza kuwa anamuita wanapasha kipolo stay positive angalia umuhimu wa mwali ila pia inakuwaje kwa maisha ya sasa kwenye hio kitu unaweka matalajio kiasi kwamba ukikuta ulilotarajia ni tofaut unapanic just relax ukikuta pamefunguliwa tofaut na ulivyokuwa unaambiwa na kudhan bas maana hairudi hio pole boss
 
The worst thing anachofikiria ni kwamba mwanamke kama kashapitiwa basi atakuwa anafanya mlinganisho na jamaa wa kwanza..

Mwanamke aliyeolewa bikra anatumia maana anajua huyo mwanaume ndo kila kitu kwake .
 

Ataupokea ushauri ila du inapain
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…