Aizn
JF-Expert Member
- Dec 14, 2022
- 2,172
- 4,196
unatafuta bikra kwa changudoa.
Unatukana wanawake sisi wakuu hatujafundishwa hivyoo sio kila msichana changudoa mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
unatafuta bikra kwa changudoa.
shukrani shukrani sana sina extra point after yourssUnatukana wanawake sisi wakuu hatujafundishwa hivyoo sio kila msichana changudoa mkuu
shukrani shukrani sana sina extra point after yourss
Wewe na wazazi wako wote akili hamnaMzee na Bi mkubwa wameniweka chini wamenambia nihakikishe naoa bikra Coz wao wamenambia walipatana hivyo so wamenambia nioe bikra kama nisipooa bikra laana itayonikuta wao hawamo
Tena wamenisisitizia masingle maza ndio nisiguse kabsa
usipoenda je?ndo imeisha hyoo😇😂😂Duniani tuoe mabikra na kule mbinguni tumeahidiwa mabikra 70 tena aloo niache nijilie ma singo maza yana joto lake bikra nitazikuta huko akhera
Hatuoi akili sisi msingi tako hata akiwa zezeta tako liwepo hujaoa mwenye tako ww ni mjinga tuHakikisha unampata mwenye akili, tako ataligawa ovyo kama hana akili
Nilikua nabishana na Jamaa zng nikiwasisitiza ya kwamba mm piga ua ntaoa binti aliye bikra npo radhi ht niende mbwinde Huko nikatolee mahari ... Jamaa zng wakadai kuwa najidanganya labda nizae wakwangu ndio nimuoe...
Binafc naona Ni sahihi na inawezekana, japo Ni wachache sn wenye msimamo km huo kwakweli
Una kitu utafika mbaliNilikua nabishana na Jamaa zng nikiwasisitiza ya kwamba mm piga ua ntaoa binti aliye bikra npo radhi ht niende mbwinde Huko nikatolee mahari ... Jamaa zng wakadai kuwa najidanganya labda nizae wakwangu ndio nimuoe...
Binafc naona Ni sahihi na inawezekana, japo Ni wachache sn wenye msimamo km huo kwakweli
Uzi mchungu sana huu.
Ahh ww lazima nifike kwenye mabikra 70 na mito ya pombe ntakula sana bata huko akhera madukaniusipoenda je?ndo imeisha hyoo😇😂😂
Ukikutana na mwanamke hana bikra, hajaolewa, sasa huyo anatofauti gani na changudoa...Unatukana wanawake sisi wakuu hatujafundishwa hivyoo sio kila msichana changudoa mkuu
Wewe na wazazi wako wote akili hamna
Ukikutana na mwanamke hana bikra, hajaolewa, sasa huyo anatofauti gani na changudoa...Unatukana wanawake sisi wakuu hatujafundishwa hivyoo sio kila msichana changudoa mkuu
uko moto sana mkuuUzi mchungu sana huu.
umeetisha saaaana ila sasa unafikiri kupata bikra town hii rahisi?labda aende madibila 😂Ahh ww lazima nifike kwenye mabikra 70 na mito ya pombe ntakula sana bata huko akhera madukani