Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Niwatunzie ili iwe nini uzuri mbinguni tunaenda na miili mipya hizo bikira wacha wanaume zao wazitafunee

Uzuri mwingine naona kila siku mishankupe ndio inaoolewa sasa sijui unamshauri nani asioe madungaembee

Sisi ndio tupo

Hakuna kuoa msichana kama hana bikra
 
Kibaya Kila Mwanaume anatamani aoe mwanamke wa Aina hiyo ila wakati Huo huo Tunaona Jinsi watu wanajisifia Kuzitoa Hizo kwa mabinti wadogo wadogo. Na tena Kibaya zaidi wengi humu wanawasifia na kuwapa hata mbinu.

Wengi hawana bikra na wengi wapo pia wanazo bikra uamuzi ni wako tu unataka mwenye bikra au ambaye ameiuza bikra kwa mwanaume mwenzako
 
Wengi hawana bikra na wengi wapo pia wanazo bikra uamuzi ni wako tu unataka mwenye bikra au ambaye ameiuza bikra kwa mwanaume mwenzako
Oya we mzee siku hizi watoto wanatiana huku wanasoma mtoto akimaliza form 4 na bikra kaiachaa shule. (saada)
 
Kwaiyo wewe bikira[emoji23]

Bikra ilikutoka ukiwa na miaka 7 nini? Mbona umechukulia seriously sanaa

Mleta mada anawatia changamoto tu hayupo seriously wala nini! Msichukie sanaa

Maana umechukia kama mleta mada ndio kakutoa bikra maana ungemjua ungemfungulia kesi unaona kama anawadhalilisha wanawake

Take it normal
 
Unaoaje? Mtu aliye kuwa hana bikra
Mimi sijawahi kuoa Wanawake wa hivyo.

Kwangu mimi MWANAMKE ana nafasi ya kipekee sana kwangu, na nina heshima kubwa sana kwa MWANAMKE.

Nongelea MWANAMKE, siyo hao viruka njia.
MWANAMKE aliyelelewa, akayapokea malezi na kujitunza.
MWANAMKE siyo kiti cha daladala kwamna mtu ainuka, jalafu mwingune akae na mchezo uendelee vivyo hivyo. Mwanamke ni hazina ambayo mtunza funguo wake huwa ni mmoja tu. Lakini hawa wa siku hizi hawataki kiwa hazina, wanapenda kuwa Magazeti. Wanapenda kuwa Mabango ya Matangazo.
 
Bikra ilikutoka ukiwa na miaka 7 nini? Mbona umechukulia seriously sanaa

Mleta mada anawatia changamoto tu hayupo seriously wala nini! Msichukie sanaa

Maana umechukia kama mleta mada ndio kakutoa bikra maana ungemjua ungemfungulia kesi unaona kama anawadhalilisha wanawake

Take it normal

Ah ah ah ah

Wengine hawajazaliwa na bikra koo zao zina laana mkuu hapa naonekana kama nakosoa watu, pengine ni mwanamke ila bikra anaisikiaga tu Kwa wanawake wengine pengine alikeketwagwa ikatoka au alibakwakwa na wajomba zake watu wa vijijini si unajua kila mtu anajipigia tu ndani ya ukoo wao
 
Mimi sijawahi kuoa Wanawake wa hivyo.

Kwangu mimi MWANAMKE ana nafasi ya kipekee sana kwangu, na nina heshima kubwa sana kwa MWANAMKE.

Nongelea MWANAMKE, siyo hao viruka njia.
MWANAMKE aliyelelewa, akayapokea malezi na kujitunza.
MWANAMKE siyo kiti cha daladala kwamna mtu ainuka, jalafu mwingune akae na mchezo uendelee vivyo hivyo. Mwanamke ni hazina ambayo mtunza funguo wake huwa ni mmoja tu. Lakini hawa wa siku hizi hawataki kiwa hazina, wanapenda kuwa Magazeti. Wanapenda kuwa Mabango ya Matangazo.

Umo umo Chief ila still wapo ambao wanajitunza na kutunzwa
 
Back
Top Bottom