Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Walawi 21:14

Mungu wa kwenye biblia hakosei
We una uhakika gani ni maneno ya Mungu na sio ya watu watawala wa wajinga. Nimekuambia mbona hufati sheria zingine za kijinga Kama kuvaa nguo za material tofauti Kama kweli unafuatilia Biblia yako
 
Katoa maelezo na uzi unajieleza kuwa mama yake alikutana na baba yake akiwa bikra so walikuwa hivyo

Na kaambiwa na wazazi wake kuwa mwanamke asiye na bikra ni laana na asijaribu kabsa kuoa wa hivyo

Rejea uzi alaf soma Kwa umakini
Bac afanye hivyo..coz hata wazazi wake wakimwambia ale mavi atakula Hana akili za kujenga hoja huyo
 
Sawa fata hio miti yako usilazimishe kila mtu awe na tamaa zako za kingono nchi huru hii
Tamaa ya ngono ipo wapi hapo? Mimi nasisitiza kuwa wanawake wanaojitunza wapo.
Wewe unakataa, na unadai wote ni hovyo, kama nataka wa aina ninayoitetea unataka niumbe wangu. Sasa hapo tamaa ya ngono imetoka wapi?
Msiwe Majasiri wa kuaminisha jamii kuwa bahati mbaya zenu ni za jamii yote. Kubalini tu kwamba viwanja mnavyocheza ndiyo sivyo.
 
Unamfundisha mtoto wako kujilinda na mimba za utotoni na magonjwa na aendelee kupigania ndoto zake. Ni very rare ukute baba anajielewa na ana elimu ya shule na maisha amfate mtoto wake wa miaka 25 mwenye chuo na yupo kazini aanze kumuuliza Kama yeye bikra.
 
🤣Bikra nimepiga, au used nimepiga, sioni kigeni kwangu. Na Bora nioe demu ambae tayari najua ladha yake sio naoa demu baadae naanza kujuta. Kingine nasema tamaa coz hata aliyetunga hizi sheria alioa mtoto wa miaka 6 na kumbikiri Akiwa na miaka 9. Sasa Kama bikra zipo tu mbona afate watoto au na mtume nae anacheza viwanja sivyo.
 
Ehe ya mdomo? [emoji1787][emoji1787]Yaani watu wanaongea humu ni either hawana mademu au hawajawahi fanya mapenzi, siwezi amini watu wazima mpo hivi, nunueni hata Malaya basi muone...[emoji21]mnatia huruma

Una ujinga mwingi sanaa wew
 

Huyoo kichaa usijisumbue kumjibu utajichosha tu hana point ana bwabwaja tu

Utapoteza muda kumjibu huyoo mwendawazmu

Achana naye
 
Hayo ndiyo maneno ya zoazoa...you sound exactly.
 
Raha sana aiseh,
Ni ndoto ya kila mwanaume,
Nimeitimiza hii.
 
Just a bunch crap! kwani kuna mtu amekulazimisha uoe bikra? we ukiona unachopenda na vile vitu used oa unaetaka ila sisi tunakufahamisha the deal that u r getting urself into.
 
Kuwa bikra ni ishara ya kuwa na maadili chini ya malezi ya baba na mama au walezi wake ila sio guarantee ya kuwa na maadili chini ya mume.
Unakubali uhalisia halafu unaukataa bila msingi, we unadhani mtoto aliyelelewa kimaadili na aliyelelewa kishenzi yupi yupo more likely kuwa na maadili?

Ni kama unasema kutarajia mtoto wa kiume au wakike kwa mwenye ujauzito sio lazima coz pia huzaliwa watoto wenye jinsia zote! ..... reallly??? u r ignoring the more likeliest for a smmallest possibility.

Kama ni hivo basi na wewe pia kesho usiende kazini sababu barabarani watu hugongwa na magari.
 
Just a bunch crap! kwani kuna mtu amekulazimisha uoe bikra? we ukiona unachopenda na vile vitu used oa unaetaka ila sisi tunakufahamisha the deal that u r getting urself into.
Ndo uwongo Sasa, ur data is not scientifically proven, ni wishful thinking tu. Hujafanya research yoyote zaidi ya story za mtaani kwa sababu elimu hamna. Mna Simu mna vitabu ila kazi kupiga mayowe, siku zingine tumieni google chat gbt na vitu vingine, mnaendelea kuongea pumba tu bila data
 
We unaongea Nini tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…