Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Kila mwanamke anamkumbuka aliyemtoa bikra kuliko anayeishi naye.
Uliza mwanamke yeyote atakwambia mpaka siku na tarehe aliyotolewa bikra.
Kumbukumbu kwa binadamu ni jambo lisiloepukikika, hata Wewe huenda hujamsau mwanamke wa kwanza aliyekuruhusu umwingilie. Mwanamke ni binadamu kama wewe, hakuna la ajabu.
 
Maisha yenyew yalivyokua magumu haya uanze kutunza such kumbukumbu ambazk hazina faida yeyote
Si wote maisha magumu, wakati nyumba yako inapigwa mnada mwenzio ananunua.
Wakati unauza vits yako ili ulipe ada ya chekechekea kuna mwenzio anatoa zawadi ya vogue kwa KAJALA FRIDA.
Wakati unakosa kodi ya nyumba Wema sepetu analipa kodi ya milioni 3 kwa mwezi na Mario anaishi kwa Wema.
 
Hayana formula, kwanini aliemtoa bikra hajamuoa akaolewa na mwingine? Dogo usikariri maisha, na hiyo bikra ilikuwa zama za mawe tu hakukuwa na utandawazi ndio maana mwanamke alitua kwa mtu mtu, mtoe bikra binti wa kileo kama hautaona kesho ana dume jingine.
 
Kuna yule dada sijui anaitwa nani, ila jna lake mwisho linaishia biriani juzi kuna mwamba kamvalisha pete na hana bikira yoyote (mbele/nyuma) mtoa mada acha uoga wa maisha.
 
Inaonekana mtoa mada haijui Saikolojia ya Mwanamke.

Ipo hivi, Mwanamke ana uwezo wa kupenda mara moja. Akisha move-on harudi nyuma.

Haijalishi ulikuwa una mtom****a na kumfikisha Kibo mara ngapi itakapofikia stage ameondoka kwenye maisha yako usidhani eti atarudi.

Au unajifanya kidume kwamba ulimtoa hiyo Bikra eti atakukumbuka, my friend unajidanganya.

Ingekuwa hiyo bikra ina umuhimu kiasi hicho si ndoa zote zingekuwa zimekufa, maana katika ndoa 500 aliyefanikiwa kumuoa Mwanamke Bikra hawafiki 5

Jambo la muhimu ni kuhakikisha anapokuwa wako basi ujitahidi kumpenda na kumjali ili asijutie kuwa nawe.
 
Amkumkuke asimkumbuke ,asisimke asisisimke, ampe asimpe ilimradi tunaishi kwa furaha na amani na alishaamua kati ya mtoa bikra na mimi niliyedandia mwanaume wa kumwoa ni mimi na amependa.

Unachotakiwa kufahamu wanawake wanatolewa bikra katika umri ambao sio wa kuolewa, hatuwezi kuwahukumu au kuwalaumu kwa hilo mara baada ya kuanza kuishi nao.

Bikra kitu gani bwana!
 
I wish we could use our really IDs....

Taasisi ya ndoa inaendelea kupigwa mande.

Nikibahatika kuzeeka nitawasimulia wajukuu zangu kuhusu historia ya ndoa, Muda ambao wao na wenzi wao wakipandana barabarani kama ilivyo kwa JIMBI na TEMBE. Na hao wanawake wakiranda na watoto wao kama Mtetea na vifaranga.


Mama ikikupendeza uza na nchi kavu yote.
 
Such a silly thought, utoto, ujinga, kukosa cha kufanya cha maana...
Stupid thought...
 
Bikra ipi inayozungumziwa hapa!?

Ya Bara!? Ama ya Zenji!?
Ya mbele!? Ama ya nyuma!?
 
Sasa kati aliemtoa bikra ya mbele na aliemtoa bikra ya nyuma na aliemzalisha hapa yupi anakumbukwa zaidi?
Aliyemtoa bikra atakumbukwa daima, hata ukimzalisha, wangapi wamezalisha watu wakaachana?

Ila hivi vitu havina formula.
 
Such a silly thought, utoto, ujinga, kukosa cha kufanya cha maana...
Stupid thought...
WAsio na cha kufanya ndio wanafanya, mimi wiki nzima naadnika hukumu na kuskiza kesi, wewe upo tu ndugu yangu.
Mwijaku anayepiga perepeche mitandaoni leo katumwa na TTB huko ufaransa kwa mwezi mzima.
kupanga ni kuchagua.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…