Kumbukumbu kwa binadamu ni jambo lisiloepukikika, hata Wewe huenda hujamsau mwanamke wa kwanza aliyekuruhusu umwingilie. Mwanamke ni binadamu kama wewe, hakuna la ajabu.Kila mwanamke anamkumbuka aliyemtoa bikra kuliko anayeishi naye.
Uliza mwanamke yeyote atakwambia mpaka siku na tarehe aliyotolewa bikra.
Si wote maisha magumu, wakati nyumba yako inapigwa mnada mwenzio ananunua.Maisha yenyew yalivyokua magumu haya uanze kutunza such kumbukumbu ambazk hazina faida yeyote
1. Jaribu kujiuliza, Je nani alimtoa mke wako bikra?
2. Kama ni wewe ,je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?
3. Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?
4. Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.
5. Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.
6. Kama una mke na siyo wewe uliyem-bikiri elewa kwamba maisha yenu yote mkeo anamkumbuka aliyemtoa bikra, hawezi kusahau kamwe..
7. Mwanaume elewa kwamba, mkeo akikutana na aliyemtoa bikra, mwili unalegea kama mbwa kwa chatu, na huyo mwanaume haombi, anapew bure kusafisha njia na kuondoa kutu na feeling yake inakuwa kubwa kuliko yako.
8. Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.
Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje
Copied.
6. Kama una mke na siyo wewe uliyem-bikiri elewa kwamba maisha yenu yote mkeo anamkumbuka aliyemtoa bikra, hawezi kusahau kamwe..mla mla leo ndugu....
Kwa wasiyo nayo ni ujinga na upumbavu, kwa wenye nayo ni ufahari.Dhana ya u-bikra haina mantiki yoyote ile ni ujinga.
Sasa kati aliemtoa bikra ya mbele na aliemtoa bikra ya nyuma na aliemzalisha hapa yupi anakumbukwa zaidi?Aliyemtoa bikra mkeo mda wowote akitaka game anapewa.
Such a silly thought, utoto, ujinga, kukosa cha kufanya cha maana...1. Jaribu kujiuliza, Je nani alimtoa mke wako bikra?
2. Kama ni wewe ,je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?
3. Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?
4. Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.
5. Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.
6. Kama una mke na siyo wewe uliyem-bikiri elewa kwamba maisha yenu yote mkeo anamkumbuka aliyemtoa bikra, hawezi kusahau kamwe..
7. Mwanaume elewa kwamba, mkeo akikutana na aliyemtoa bikra, mwili unalegea kama mbwa kwa chatu, na huyo mwanaume haombi, anapew bure kusafisha njia na kuondoa kutu na feeling yake inakuwa kubwa kuliko yako.
8. Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.
Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje
Copied.
No It doesn'tBikra matter
Aliyemtoa bikra atakumbukwa daima, hata ukimzalisha, wangapi wamezalisha watu wakaachana?Sasa kati aliemtoa bikra ya mbele na aliemtoa bikra ya nyuma na aliemzalisha hapa yupi anakumbukwa zaidi?
WAsio na cha kufanya ndio wanafanya, mimi wiki nzima naadnika hukumu na kuskiza kesi, wewe upo tu ndugu yangu.Such a silly thought, utoto, ujinga, kukosa cha kufanya cha maana...
Stupid thought...
how?It doesn't