Buyuni Kwetu
JF-Expert Member
- Sep 29, 2013
- 2,120
- 2,153
Uongo labda uwe malaya tuAliyemtoa bikra mkeo mda wowote akitaka game anapewa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uongo labda uwe malaya tuAliyemtoa bikra mkeo mda wowote akitaka game anapewa.
inasaidia kufunda watoto wetu.Kwa hiyo sisi tufanyeje? Mbona waliowatoa bikira wake zao tunawagongea huku mtaani? Ni maswali ya kijinga hayo! Hata ukimjua haikusaidii!
Fanya utafiti kwa wanawake wanne leo, uje na jibu hapa.Uongo labda uwe malaya tu
Wewe huyo mke wako ndiyo alikuwa mwanamke wa kwanza kumuingilia?Aliyemtoa kanisaidia kupunguza kadhia, manake nayo ni kadhia.
Lakini wakuu, tumeoa wake za watu. Kitu kimepigwa x100 wewe unakuja kulisongesha tu.
Hata hivyo, wametuzalia watoto wazuri. Tuwasamehe tuishi hivyo.
Hili neno , wewe ni matured, sasa wengine wana makasiriko.Aliyemtoa kanisaidia kupunguza kadhia, manake nayo ni kadhia.
Lakini wakuu, tumeoa wake za watu. Kitu kimepigwa x100 wewe unakuja kulisongesha tu.
Hata hivyo, wametuzalia watoto wazuri. Tuwasamehe tuishi hivyo.
Sasa km aliweza kumzalisha na wakaachana je wote waliotolewa bikra wameoa na hawaachani?Aliyemtoa bikra atakumbukwa daima, hata ukimzalisha, wangapi wamezalisha watu wakaachana?
Ila hivi vitu havina formula.
Lakini mleta mada ana kitu, asikilizweHuu ni uchochezi
Mbona hata waliotoa Bikira mbona bado wanagongewa?Hili neno , wewe ni matured, sasa wengine wana makasiriko.
Aliyemtoa ndiye anakumbukwa mpaka kaburini.
🤣Mwanaume kama huna roho ya chuma usijaribu kododosa aliyemtoa bikra mkeo
Uzoefu unaonyesha mara nyingi bikra inatoka baada ya wapenzi kukutana kimwili mara tatu, sasa jenga picha mara zote tatu ji-anaume linapumuklia hapo, hiyo kumbukumbu haitoki aisee.
Inawezekana aisee. Ila sijui kwakweli nasubiri comments ila kwenye kumkumbuka anamkumbuka ila suala la kupashana viporo sijafanya utafiti. Sijui kitu.Fanya utafiti kwa wanawake wanne leo, uje na jibu hapa.
Waulize watumishi wa Serikali waendapo mikoani kikazi, nini hutokea.
au waulize wanaokwenda Kilimanjaro Marathon huko Moshi.
Mkeo anaend aKili marathon, anakutana na aliyemtoa Bikra katokea Mwanza na analala Moshi Hotel, wote wamekuja , wanabadilishana contact na usiku wanaenda kukumbushiana.
Ngoja nikipata muda nitafanya utafiti.Mwanaume kama huna roho ya chuma usijaribu kododosa aliyemtoa bikra mkeo
Uzoefu unaonyesha mara nyingi bikra inatoka baada ya wapenzi kukutana kimwili mara tatu, sasa jenga picha mara zote tatu ji-anaume linapumuklia hapo, hiyo kumbukumbu haitoki aisee.
Ila mkuu kuna vitu ni kuachana navyo tu.Mwanaume kama huna roho ya chuma usijaribu kododosa aliyemtoa bikra mkeo
Uzoefu unaonyesha mara nyingi bikra inatoka baada ya wapenzi kukutana kimwili mara tatu, sasa jenga picha mara zote tatu ji-anaume linapumuklia hapo, hiyo kumbukumbu haitoki aisee.
Hivi ni kweli mnawakumbuka?Hili neno , wewe ni matured, sasa wengine wana makasiriko.
Aliyemtoa ndiye anakumbukwa mpaka kaburini.
Hayo ndo maneno.Iko hivi mdogo wangu mtoa bikira,, , ,,,,wewe endelea kuwatoa bikira sisi tutawaoa nakuwazalisha watoto ata sita saba,,, afu akishanyonyesha watoto wangu sita na akakukumbuka nitakubali kweli anaikumbuka bikira yake,,,,
Vijana Wana stress sana , ukiwa na stress uwezo wa kufikiri unapungua.Zama zimebadilika sana aisee..ukiambiwa hizi ndio mada zinazojadiliwa JF unakataa...