Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Nilimkuta mke wangu bikra ila na bado nilichapiwa, wewe Je?

Inaonekana mtoa mada haijui Saikolojia ya Mwanamke.

Ipo hivi, Mwanamke ana uwezo wa kupenda mara moja. Akisha move-on harudi nyuma.

Haijalishi ulikuwa una mtom****a na kumfikisha Kibo mara ngapi itakapofikia stage ameondoka kwenye maisha yako usidhani eti atarudi.

Au unajifanya kidume kwamba ulimtoa hiyo Bikra eti atakukumbuka, my friend unajidanganya.

Ingekuwa hiyo bikra ina umuhimu kiasi hicho si ndoa zote zingekuwa zimekufa, maana katika ndoa 500 aliyefanikiwa kumuoa Mwanamke Bikra hawafiki 5

Jambo la muhimu ni kuhakikisha anapokuwa wako basi ujitahidi kumpenda na kumjali ili asijutie kuwa nawe.
Hakuna formula kwenye haya mambo usikariri
 
Kwan anamkumbuka aliyemtoa bikra tuu? .... hao wengine hawakumbukwi
Ndo maana nikasema hivi vitu Havina formula. Nimeandika hapo chini.
Wengine kama walimueza nao wako sehemu ya kumbukumbu, ila kutulia kwa mwanamke inategemea na akili yake, sio ubikra wala nini.

Hata wasiomuweza nao wako sehemu ya kumbukumbu, binadamu anakumbukaga vitu vya nyuma ila kuna ile kutotilia maanani.
 
Povu Kwa side B baada ya side A kutokubaliana na side B......🤣🤣🙌
 
Mimi nishawahi kumtoa demu bikira nikiamini kama unavyosema lakini siku nilipokuja kukutana nae kumuomba tena hakutaka hata kuniona na sikumkosea kitu. Nilipomchimba kwa undani akaniambia yeye alieshaolewa no mke wa mtu na bawezi fanya hivyo tena
 
1. Jaribu kujiuliza, Je nani alimtoa mke wako bikra?

2. Kama ni wewe ,je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?

3. Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?

4. Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.

5. Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.

6. Kama una mke na siyo wewe uliyem-bikiri elewa kwamba maisha yenu yote mkeo anamkumbuka aliyemtoa bikra, hawezi kusahau kamwe..

7. Mwanaume elewa kwamba, mkeo akikutana na aliyemtoa bikra, mwili unalegea kama mbwa kwa chatu, na huyo mwanaume haombi, anapew bure kusafisha njia na kuondoa kutu na feeling yake inakuwa kubwa kuliko yako.

8. Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.

Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje

Copied.
Imekusaidia nini, (is it an issue) Kwanini hujaoa mwanamke mwenye bikira je wew ulikuwa bikira yaani hukuwahi kuchimba mgodi/migodi kabla huja mwingilia . wanaume mnapenda wanawake wasichimbwe migodi yao ila nyie ndiyo muanze kuichimba migodi bila kuwaoa?
 
Nilimtoa Bikira Mkewang,, haikuwa rahisi kumtoa,, nlivumilia kung'atwa 😂,, hatimaye ikazama yooote😂, kabla ya hapo nlikuwa tukikutana ikianza kupenya kilio hadi naamua kuhairisha mechi,,
Ilijirudia mara kadhaa,, tukiwa nje akawa ananiambia we usinionee huruma hata nikilia wee komaa tu unitoe,,

Basi siku ya siku nikakomaa na kung'atwa juu🤣
 
Back
Top Bottom