mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
umeiweka vizuri kabisa mkuuImekusaidia nini, (is it an issue) Kwanini hujaoa mwanamke mwenye bikira je wew ulikkuwa bikira yaani hukuwahi kuchimba mgodi/migodi kabla huja mwingilia . wanaume mnapenda wanawake wasichimbwe migodi yao ila nyie ndiyo muanze kuichimba migodi bila kuwaoa?
Hii ni bendera ya Nchi gani?1. Jaribu kujiuliza, Je nani alimtoa mke wako bikra?
2. Kama ni wewe ,je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?
3. Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?
4. Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.
5. Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.
6. Kama una mke na siyo wewe uliyem-bikiri elewa kwamba maisha yenu yote mkeo anamkumbuka aliyemtoa bikra, hawezi kusahau kamwe..
7. Mwanaume elewa kwamba, mkeo akikutana na aliyemtoa bikra, mwili unalegea kama mbwa kwa chatu, na huyo mwanaume haombi, anapew bure kusafisha njia na kuondoa kutu na feeling yake inakuwa kubwa kuliko yako.
8. Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.
Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje
Copied.
Nimekwambia hivi hao ni malaya. Kama huna tabia hizo hata kama huyo mtu mnaishi naye mji mmoja na una mume huwezi kuwa na mahusiano hayo tena!!!!Fanya utafiti kwa wanawake wanne leo, uje na jibu hapa.
Waulize watumishi wa Serikali waendapo mikoani kikazi, nini hutokea.
au waulize wanaokwenda Kilimanjaro Marathon huko Moshi.
Mkeo anaend aKili marathon, anakutana na aliyemtoa Bikra katokea Mwanza na analala Moshi Hotel, wote wamekuja , wanabadilishana contact na usiku wanaenda kukumbushiana.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]akanyambasiraBikraaa ina matter sana.....ndo true love iliyobakia kwa ke kwenda kwa me....
Huku kwingine tunaongeza siku za kuish tu........
My side
Hoyeeccm oyeee
NakaziaTafuta hela acha utoto .
IjeKatiba mpya kwanza
1. Jaribu kujiuliza, Je nani alimtoa mke wako bikra?
2. Kama ni wewe ,je umegundua tofauti gani katika nyumba yako?na kama sio wewe je umeona tofauti gani?
3. Ni ukweli usiopingika kuwa kwa wale ambao wake zao walitolewa bikra na wanaume wengine mahusiano yao ni tofauti sana wale ambao walitoa bikra za wake zao.Kwa nini?
4. Kwa kawaida mwanamke ukimpenda ukamtoa bikra na kumuoa basi kama mapenzi yenu yako katika msingi sahihi basi mtaishi maisha yenye furaha na amani sana na mtaweza pitia magumu mengi sana pamoja katika mapenzi yenu.
5. Kwa wanawake ambao unawao lakini sio wewe uliwatoa bikra ni muhimu ukafahamu kwa hakika namna ambavyo walipoteza usichana wako ili uelewa hasa maumivu waliyowahi kupitia.Kwa mara nyingi mwanamke hutolewa bikra ama na mtu ambaye anamuamini au kwa sababu ya kiherehere.
6. Kama una mke na siyo wewe uliyem-bikiri elewa kwamba maisha yenu yote mkeo anamkumbuka aliyemtoa bikra, hawezi kusahau kamwe..
7. Mwanaume elewa kwamba, mkeo akikutana na aliyemtoa bikra, mwili unalegea kama mbwa kwa chatu, na huyo mwanaume haombi, anapew bure kusafisha njia na kuondoa kutu na feeling yake inakuwa kubwa kuliko yako.
8. Kwa kawaida unapoamua kumfanya mwanamke kuwa wako wa maisha hilo ni jambo la muhimu kujua hasa iwapo mwanamke sio bikra,na ana umri mdogo na hana mtoto.Iwapo umri umeenda na ana mtoto walau mmoja sio lazima kujua.
Nasisitiza sana hasa kwa wale ambao mko mbioni kuoa iwapo mpenzi wako sio bikra ni muhimu ufahamu nani aliitoa na waliachanaje
Copied.