P h a r a o h
JF-Expert Member
- Mar 25, 2024
- 785
- 1,413
- Thread starter
-
- #81
M nakuogopa huku 2012 niliona jina la kike nkatongoza nkarusha na anauli njoo sinza alikuwa mstaatabu kakayule akaja kupigaa anapoke me wee ikabidi tujuane tu hamna jinsi.
πππππ¬ Yale yale an ni kucheza kwa step tuu dadek zaoEuphen ni dume la mbegu, we jitie kujiliza liza hapo uje usukumiwe hogo la kisukuma.
Cc: mshamba_mwingine dronedrake Extrovert Poor Brain
nitaenda kusikiliza hii yote kwanza
Nipe mbinu mkuu,Kuna "Binti" namuelewa sana,ni rafiki yangu sijui naanzajePm zipo waende huko
Mfollow, fuatilia post zake hata kama si zote like na kumjibu in a positive way km kumuunga mkono, nenda pm mjulie hali mara moja kwa siku inatosha, tuma miamala ya lunch au dinner sio kila siku ila kwa weekend itapendeza, hakikisha anakupa namba yake mkifikia hapo utakomaa sasa, usinisahau sodaNipe mbinu mkuu,Kuna "Binti" namuelewa sana,ni rafiki yangu sijui naanzaje
Hahaha niache kwanzaMfollow, fuatilia post zake hata kama si zote like na kumjibu in a positive way km kumuunga mkono, nenda pm mjulie hali mara moja kwa siku inatosha, tuma miamala ya lunch au dinner sio kila siku ila kwa weekend itapendeza, hakikisha anakupa namba yake mkifikia hapo utakomaa sasa, usinisahau soda
miamala ilikua imetulia tuuMfollow, fuatilia post zake hata kama si zote like na kumjibu in a positive way km kumuunga mkono, nenda pm mjulie hali mara moja kwa siku inatosha, tuma miamala ya lunch au dinner sio kila siku ila kwa weekend itapendeza, hakikisha anakupa namba yake mkifikia hapo utakomaa sasa, usinisahau soda
Yani unaanzisha mada ila muamala huwezi eheeeeee bora ukalale ukuemiamala ilikua imetulia tuu
mara imetajwa hapa π
nilikua silijui hiliYani unaanzisha mada ila muamala huwezi eheeeeee bora ukalale ukue
Niachie mpenz wngu ephen_nilikua silijui hili
ila kuna motivation nilisikiliza iliseman hivi...
"hela sio sababu ya kufanya mpendane"
hata baraka na ruby walikubliana "mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanpungua"
Haya wasikilize hao km hujaishia kuanzisha mada kila siku hata salamu yake usiipatenilikua silijui hili
ila kuna motivation nilisikiliza iliseman hivi...
"hela sio sababu ya kufanya mpendane"
hata baraka na ruby walikubliana "mapenzi sio pesa ila ikikosekana yanpungua"
Mwambie ephen nampndaHaya wasikilize hao km hujaishia kuanzisha mada kila siku hata salamu yake usiipate
Yaani hebu Sema na wewe ukute ni mtu yule yule kajifungulia uziwatu walio join jana wote wanampenda mtu mmojaππ
wasituchoshe tujione mayatima sieYaani hebu Sema na wewe ukute ni mtu yule yule kajifungulia uzi
Unataka niwe kuwadi sio?Mwambie ephen nampnda
Ntakupa ya sodaUnataka niwe kuwadi sio?