Nilivoachwa kikatili na mpenzi wangu wa kwanza

Sababu ni kweli ninakumbukumbu had za chekechekea hapa nilipo Nina afya njema,sinywi pombe sivuti bangi so akili yangu ni ngumu kusahau nakumbuka had nilosoma nae vidudu Kwa sura na matukio Yao yote
🀣🀣🀣hivi kumbe ni bangi na pombe ndio zinafanya tunasahau watu?aisee yaani mimi naambiwaga naringa watu niliosoma nao nawakumbuka wachache sana ambao nilikuwa nao close flan ila kama ulikuwa tu classmates halafu mpole ndio sikukumbuki kabisaaaaa
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… heri wewe

mimi nilikua mshamba wajanja wakanibebea bebi pale high school wakabebeshana hadi mimba. Imagine watu wana kiss class na wewe upo πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ
 
🀣🀣🀣🀣🀣ila African mama wamepinda jamani yaani hajataka kujichosha kukuuliza kajua tu foolish age inamsumbua huyu
 
yani penzi halina hata week mshaanza kutoana machozi
 
🀣🀣🀣🀣🀣ila African mama wamepinda jamani yaani hajataka kujichosha kukuuliza kajua tu foolish age inamsumbua huyu
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nikiwa mkubwa mkubwa, kuna siku nikawa mood off, yaani ile totally shut down, of course nilikuwa nimekosana na babe wangu nilikuwa nampenda kuliko hela, huwa sitakagi kuongea na mtu,

My Mom akanipigia simu sikupokea, baadaye tena akanirudia nikamuambia siko sawa, hata hakutaka kujua chanzo ni nini, aiseeeh' alinisimanga balaa, eti 'najua tu huo ni upumbavu wa wanaume', akanigombeza kisha akanikatia simu, ndiyo nikalia vizuri kwa mayowe kabisa, sasa unaanza kunigombeza badala unisikilize kwanza..!!?

Africans Mom hapana..!!πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™Œ
 
🀣🀣🀣ingekuwa ulaya mama angepanda hata tren ya umeme aje kukusikiliza,tena shukuru ulikuwa mbali ungeweza Chezeaa hata banzi la mgongo au ndala
 
African mom ni walezi tu, majujumu mengine wana dodge sana
 
Kunatukio nilisahau

Baada ya Ile siku ya tukio na kuachwa nilikutana na yule kaka nilosimama nae pale kwenye sherehe nae alisikia hiz tetesi nilimlaum nikajua yeye ndio kaongea uongo akasema nitampata alisema sababu story mtaani Ilikuwa hiyo tu mm kuliwa na kuachwa na H πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Baada ya masaa hiv nikaja kuitwa na Irene yule kijana alimpata aliesambaza hizo habari za uongo alafu yule kijana aliekuwa ananiaproach alikuwa Mkubwa kuliko sisi hivo Ilikuwa rahis kumpata nikamkuta kamshika shati kisawa sawa

Nilivofika akasema aniambie alichosema akakubali yeye ndio alisema baada ya kuona tumesimama pale akawaambia watu hiyo taarifa lakin hakuwa na uhakika kama tulitoka pamoja

Jamaa akamzimua makofi mawili matatu mda huo vijana wa pale mtaani walikuwa kma 7 hivi wakamzomea ikawa nafuu yangu lakini nilishapoteza tayari

Baada ya miak kupita nikawa na mahusiano mengine ila nilimpenda sana H baada muda hasia zikaanza kupungua nikawa najihis nakuwa sawa hata kumfikiria kukapungua namba yake ya Simu ikaanza kufutika

Nikawa namuona H ila sikufanikiwa kuongea nae chochote akaenda kusomea udaktari nikaambiwa,nami nikaenda chuo
Sikumoja nipo likizo nikapigiwa simu namba ngeni

Nikapokea
Halloo nikauliza nani akasema ni H
Mmh nikamuuliza kama yukoo poa akasema yupo sawa akaomba kuniona siku ya pili nikamwambia kama nitakuwa na nafasi nitamjulisha nikapotezea japo nilikuwa na shauku ya kumsikia anachotaka kuniambia

Siku ya pili sikumtafuta siku ya Tatu akanipigia akasema yupo mtaani kwetu nikamwambia sawa nikaenda kumuona akasema amenikumbuka
Akasema usiku ule alipigiwa simu na watu akaambiwa kuwa nipo na yule kijana pia kuwa ni mwanaume wangu na nilitoka nae usiku ule roho ilimuuma sana na kibaya zaidi akaambiwa kuwa nililala na yule kijana alafu yule kijana ni wale mabishoo wa pale mtaani na ni Mkubwa kuliko sisi Hilo lilimuumiza Zaidi
Lakin Bado ananipenda tuwe pamoja πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Nikamuuliza sababu ya kutonisikiliza akasema ni hasira na maumivu alihis kile kitu ni Cha kweli ila anajutia
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚Hawana time na ujinga mm alinikuta mara mbili ya kwanza ndio hiyo Ilikuwa usiku mara ya pili alfajiri akanambia kuacha kuamka kufanya ibada unaamka kulilia ujinga au Kuna msiba wa shangazi Yako πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
"Ilikuwa siku chache aondoke shule na Huwa akiwa shule hatumii simu mm pia sikuwa na simu kabisa akaja kuniaga akaondoka"

Naomba mtunzi hapa ueleze kwa maneno yasiyopungua 500 ili nikueleww vizuri😎.
 
"Ilikuwa siku chache aondoke shule na Huwa akiwa shule hatumii simu mm pia sikuwa na simu kabisa akaja kuniaga akaondoka"

Naomba mtunzi hapa ueleze kwa maneno yasiyopungua 500 ili nikueleww vizuri😎.
Alikuwa anasoma shule ya seminary mm sikuwa na simu yeye alikuwa nayo ambayo anatumia akiwa likizo akiondoka anaiacha hivo akiwa yupo naongea nae kupitia simu ya Irene
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…