πππMnataka niseme Tena mnipige πππ€£π€£π€£hivi kumbe ni bangi na pombe ndio zinafanya tunasahau watu?aisee yaani mimi naambiwaga naringa watu niliosoma nao nawakumbuka wachache sana ambao nilikuwa nao close flan ila kama ulikuwa tu classmates halafu mpole ndio sikukumbuki kabisaaaaa
Ila ulikuwa na utayari wa kuliwa mkuu?πSikuliwa mkuu πππ niliachwa kabla sijaliwa
Dah! Sasa siupige goti kumshukuru Munguπ π π π π heri wewe
mimi nilikua mshamba wajanja wakanibebea bebi pale high school wakabebeshana hadi mimba. Imagine watu wana kiss class na wewe upo ππΎππΎππΎππΎ
πππUmeenda mbali mkuuπππ
Kwahiyo kiongozi aliporudi ukamkubalia tena H??Tufanye wew ungekuwa H mzigo ungeuacha[emoji23][emoji23]
Acheni kuuliza maswali magumu
Awaombe msamha aiseeEasy Easy Easy!
Umetukosea sana,ila una hoja usipuuziweπππMnataka niseme Tena mnipige ππ
Mwaka 1992 Vidudu Songea Mission nakumbuka tuliingia kwenye chumba fulani kuna kohifadhiwa maziwa ya unga, sukari na vikombe vya uji. Mwenzangu akawa analamba yale maziwa ya unga kwa fujo mpaka akawa anatoka makamasi na mengine akaficha kwenye kimfuko cha shati naikumbuka mimi hii 32 yrs ago na huyo jamaa alikuwa anaitwa Nasukigwe π€£π€£π€£Sababu ni kweli ninakumbukumbu had za chekechekea hapa nilipo Nina afya njema,sinywi pombe sivuti bangi so akili yangu ni ngumu kusahau nakumbuka had nilosoma nae vidudu Kwa sura na matukio Yao yote
Dada unambananisha sana Huyu bibie π€£π€£π€£π€£Umetukosea sana,ila una hoja usipuuziwe
Yule mpare alikuwa wangapi mkuuπ€£π€£Kawaida Hata mimi mpenzi wangu wa kwanza ni Fetty mawenge yeye ndo alianza kuniambia ananipenda mi nilikua mgeni kwenye mapenzi nikamwambia anipe muda nimfikirie niliogopa kukubali harakaharaka ili asinione ni kijana muhuni
Siwezi kuwa na mahusiano na mwanamke wa kipareYule mpare alikuwa wangapi mkuuπ€£π€£
Hapana mimi mzigo ningeuacha kwa kweliπTufanye wew ungekuwa H mzigo ungeuachaππ
Acheni kuuliza maswali magumu
ππππππHawana time na ujinga mm alinikuta mara mbili ya kwanza ndio hiyo Ilikuwa usiku mara ya pili alfajiri akanambia kuacha kuamka kufanya ibada unaamka kulilia ujinga au Kuna msiba wa shangazi Yako ππππ
π€£π€£π€£π€£dah na kweli,huo muda wa kulialia Bora ungefanya ibadaπππHawana time na ujinga mm alinikuta mara mbili ya kwanza ndio hiyo Ilikuwa usiku mara ya pili alfajiri akanambia kuacha kuamka kufanya ibada unaamka kulilia ujinga au Kuna msiba wa shangazi Yako ππππ
Utaaona na wewe utakavyokuja kudeal na watoto wako,hamna kitu inanimate kama nikifikiria mwanangu alivyo so special kwangu kuna mjinga mmoja atakuja kuuvunjavunja moyo wake...mapenzi hayaπππ
Wanapenda hilo neno la 'unalia nini umefiwa'..??
Hivi wazazi wetu wenyewe hawakuteswa na mapenzi kabisa kwani..?? Mbona wanajikuta ma concord hivyo.?