Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
๐๐๐Mnataka niseme Tena mnipige ๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃhivi kumbe ni bangi na pombe ndio zinafanya tunasahau watu?aisee yaani mimi naambiwaga naringa watu niliosoma nao nawakumbuka wachache sana ambao nilikuwa nao close flan ila kama ulikuwa tu classmates halafu mpole ndio sikukumbuki kabisaaaaa
Ila ulikuwa na utayari wa kuliwa mkuu?๐Sikuliwa mkuu ๐๐๐ niliachwa kabla sijaliwa
Dah! Sasa siupige goti kumshukuru Mungu๐ ๐ ๐ ๐ ๐ heri wewe
mimi nilikua mshamba wajanja wakanibebea bebi pale high school wakabebeshana hadi mimba. Imagine watu wana kiss class na wewe upo ๐๐พ๐๐พ๐๐พ๐๐พ
๐๐๐Umeenda mbali mkuu๐๐๐
Kwahiyo kiongozi aliporudi ukamkubalia tena H??Tufanye wew ungekuwa H mzigo ungeuacha[emoji23][emoji23]
Acheni kuuliza maswali magumu
Awaombe msamha aiseeEasy Easy Easy!
Umetukosea sana,ila una hoja usipuuziwe๐๐๐Mnataka niseme Tena mnipige ๐๐
Mwaka 1992 Vidudu Songea Mission nakumbuka tuliingia kwenye chumba fulani kuna kohifadhiwa maziwa ya unga, sukari na vikombe vya uji. Mwenzangu akawa analamba yale maziwa ya unga kwa fujo mpaka akawa anatoka makamasi na mengine akaficha kwenye kimfuko cha shati naikumbuka mimi hii 32 yrs ago na huyo jamaa alikuwa anaitwa Nasukigwe ๐คฃ๐คฃ๐คฃSababu ni kweli ninakumbukumbu had za chekechekea hapa nilipo Nina afya njema,sinywi pombe sivuti bangi so akili yangu ni ngumu kusahau nakumbuka had nilosoma nae vidudu Kwa sura na matukio Yao yote
Dada unambananisha sana Huyu bibie ๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃUmetukosea sana,ila una hoja usipuuziwe
Yule mpare alikuwa wangapi mkuu๐คฃ๐คฃKawaida Hata mimi mpenzi wangu wa kwanza ni Fetty mawenge yeye ndo alianza kuniambia ananipenda mi nilikua mgeni kwenye mapenzi nikamwambia anipe muda nimfikirie niliogopa kukubali harakaharaka ili asinione ni kijana muhuni
Siwezi kuwa na mahusiano na mwanamke wa kipareYule mpare alikuwa wangapi mkuu๐คฃ๐คฃ
Hapana mimi mzigo ningeuacha kwa kweli๐Tufanye wew ungekuwa H mzigo ungeuacha๐๐
Acheni kuuliza maswali magumu
๐๐๐๐๐๐Hawana time na ujinga mm alinikuta mara mbili ya kwanza ndio hiyo Ilikuwa usiku mara ya pili alfajiri akanambia kuacha kuamka kufanya ibada unaamka kulilia ujinga au Kuna msiba wa shangazi Yako ๐๐๐๐
๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐คฃdah na kweli,huo muda wa kulialia Bora ungefanya ibada๐๐๐Hawana time na ujinga mm alinikuta mara mbili ya kwanza ndio hiyo Ilikuwa usiku mara ya pili alfajiri akanambia kuacha kuamka kufanya ibada unaamka kulilia ujinga au Kuna msiba wa shangazi Yako ๐๐๐๐
Utaaona na wewe utakavyokuja kudeal na watoto wako,hamna kitu inanimate kama nikifikiria mwanangu alivyo so special kwangu kuna mjinga mmoja atakuja kuuvunjavunja moyo wake...mapenzi haya๐๐๐
Wanapenda hilo neno la 'unalia nini umefiwa'..??
Hivi wazazi wetu wenyewe hawakuteswa na mapenzi kabisa kwani..?? Mbona wanajikuta ma concord hivyo.?