Niliwahi kumwambia Hayati Magufuli, leo narudia kwa Rais Samia ili asipoteze muda wake

Hapa nakataa mkuu. Jpm alikua anataka fair business kati ya tanzania na nchi nyingine. Alitaka wananchi wawe na thamani sawa na foreigners. Na kutoa dhana ya cheap labour.
Fairness unapata wapi wakati haujui dynamics za uchumi na biashara?

Angalia Mwendazake alivyojitia kidole cha matako kwenye korosho halafu ndiyo unamuamini akuamulie masuala ya fair business!!

Global business siyo ubabe wa mdomoni, unakaa swekeni Chato hata duniani huwezi kufika halafu u-dictate business terms!! No it can't happen
 
Kwa Tanzania katiba sio tatizo,tatizo kubwa na watu bado ni wajinga pamoja na hii katuba mbovu mengi yamefanyika pasipo kuifata but sote tunaona ni sawa tumelala usingizi wa pono.
 
Hii Katiba ni tatizo kubwa sana na isipobadilishwa tatendelea kupuyunga tu.
Kwa Tanzania katiba sio tatizo,tatizo kubwa na watu bado ni wajinga pamoja na hii katuba mbovu mengi yamefanyika pasipo kuifata but sote tunaona ni sawa tumelala usingizi wa pono.
 
Not with Mwendazake, yeye katurudisha nyuma sana. I wish CCM wangemsimamisha Samia Suluhu kama Rais mwaka 2015 na Magufuli awe Waziri Mkuu tu. Leo tungekuwa tunapaa kiuchumi.

Mnaomsifia Magufuli mnasifia propaganda za kijinga alizoziimba 24/7 kwenye vyombo vya habari and it is unfortunate bado amewafanya mateka pamoja na kwamba ameshafukiwa Chato. Kwenye karne hii kuirudishia Serikali ifanye biashara kama wanavyofanya TBA kwenye ujenzi badala ya makandarasi, Au TPDF kufanya ujenzi, kendesha kumbi za harusi, maduka ya spear na ku clear magari ni wendawazimu

Unanyang'anya shughuli za private sector unaIepeleka Serikalini, it's CRAZY
 
Gaddafi na Kwame Nkurumah walikuwa madikteta na wote waliondolewa kwa aibu katika nchi zao.
Mkuu unweza funguka kidogo kuhusu sakata la mgogoro wa Libya ukizingatia maisha yao yalikuwa mazuri sana(tetesi)
 
Unatisha mkuu..!! Safi sana!
 
Mabeberu yalikuwa yanatembea vifua mbele kumsindikiza mwamba lissu uku serikali ya jiwe ikiona hivi hivi[emoji23][emoji23]
 
Kwani walio kumbwa na madhira ya utawala wa JPM hawa kuwa raia wa nchii hii? nao hawakuhitaji mahitaji muhimu kama wengine?
 
Maisha ya Walibya chini ya Gaddafi hayakuwa mazuri kama ya wenzao wanaoishi kwenye tawala za Kidikteta za China, Saudi Arabia na Russia. Vijana hawakuwa na ajira kwa sababu hakukuwa na biashara nyingine zaidi ya uchimbaji mafuta.

Gaddafi Alitorosha matrilioni ya pesa kuweka kwenye akaunti zake binafsi nje ya nchi.

Aliitenga nchi upande wa Mashariki kwa sababu makabila ya huko hayakuukubali utawala wake.

Wimbi la Arab spring kupinga udikteta ilikuwa ni kudodonsha njiti tu kwa milipuko ambayo ilikuwa tayari kulipuka muda wowote.
Mkuu unweza funguka kidogo kuhusu sakata la mgogoro wa Libya ukizingatia maisha yao yalikuwa mazuri sana(tetesi)
 
Unajua taratibu za ku-deal na diplomatic envoy ya nchi nyingine wanapokuwa Tanzania?
 
Well noted mkuu. Mungu akubariki sana.

Hasa hapo kwenye kunyonya mataifa mengine nimependa sana.
 
Shida wabongo tunapenda sana story za kusimuliwa mara ooh ukioa unapewa nyumba,kila mwisho wa mwezi unalipwa nk
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…