Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

5. Haoni thamani ya fedha (ni mfujaji ananunua kitanda cha 700k) na vitu vingine vya thaman vya thamani tofauti na anachokiingiza asilimia kubwa ya fedha anategemea atoe kwangu kama sio nusu item husika 6.
Si useme tu ukweli shida zote zilianzia hapa 😊 Leonce jr
 
Sa hihihi mkuu barikiwa sana siwez kumchukia wala kumuombea mabaya hata siku moja
 
Mkuu sasa EAGT na LUTHERAN hakuna tofauti . Utofauti hapo ni maandishi tuu
 
Sa hihi mkuu japo na mm ni mtumishi lkn ile kauli ya mama mkwe huenda ni watu wanapenda u fahari kweli hta hivyo mimi mwenyewe sio kinyonge na nyumban pia kupo bomba sana japo sio mboga saba
 
Yote tisa demu wangu siku amemaliza diploma with 21 of age mwakajana nikampigia simu mama yake! Siku moja maza akaanza kanyoosha mwanangu ameniambia anataka aunge degree
Sitaka akae abweteke mwishowe aishie kuolewa(🤔remind you mother hajui kama Nina mahusiano na huyo binti)

Siku moja binti akaniambia kuolewa labda afikishe miaka 28😁nilicheka kimoyo moyo (hajui alisemalo)

End mother ake hajawah kuolewa sahv anaitafuta 50

Hitimisho,maneno ya mama kwa mtoto wake yananguvu, wewe usitufanye sisi watoto demu unampenda Ila ishi maneno yako
 
Ukimrejea atakufanyia Visa mara 10 zaidi ya alivyo kufanyia .
Alishakuona wewe ni dhaifu kwake hujiwezi kwake.
Sijui kakuroga maskini ya watu?!
 
Mambo uliyotaja kama sababu yanarekebishika!

Matumizi,kukomand,mama mkwe n.k yanarekebishika kabisa!

Muombe Mungu kama ni mapenzi yake iwe kama sio vunja!
Ndio nimesema uki lejea koment zangu za nyuma kama tutakuja kuonana tena nimemuacha bila mtoto na hatakua na mtoto muda ukifika nitampokea ila akija na mtoto hayo mapenz hayatakuw ya Mungu bali ni ya yule mwovu
 
Madogo wa Diploma hakikisha GPA iko below 3. Asiwe na vigezo vya kuunga.
 
Asante mkuu wacha niangalie mbele japo najua anaweza kunipata kazini kwangu naogopa ku mchana makavu naona ataona kama nimepata mwingn
Ukisikia anaolewa? Utaweza kuhandle? Hakikisha maswal hayo unajijibu huku ukiwa huna maumivu. Ukioa huto mkumbuka, mkikutana huko mbeleni hamtaharibiana ndoa ambayo kila mtu naingia? Kwani ukisimama Kama mwanaume na kumpa msimamo Wako kuwa usipo badirika tuna achana , halafu umwangalie atafanyaje . Ndugu mapenz ni mazuri Sana ukipatia, na ni mabayaaaa Sana ukikosea
Mkuu mimi ni mwaisa nikiamua nimeamua kama itakuwa hivyo itanichukua muda sana kurudi sana
 
Madogo wa Diploma hakikisha GPA iko below 3. Asiwe na vigezo vya kuunga.
Alipata 3 na zaidi kwahyo anayo qualification ya kuproceed mbele sahv Kako degree, naona anajipost tu tako mtandaoni,
Sasa siku moja mwanangu nimechill mwanangu kaniletea video demu anatoka guest na mzee ambaye kwangu ni baba kwake ni babu🤔duh nikasema afadhali nilimpiga chini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…