Nimeamua kumuacha mwanamke ninae mpenda sana roho yangu inaniuma sana

Nime mblock kila chember kila aina ya mawasiliano nimewaambia ndugu zangu wasimpe taarifa yeyote ile kuhusu mimi.
Tuachie hio namba mabaharia hatuchagui polisi wala mwanajeshi wote tunapiga kambi na kutembeza rungu la komredi kipepe kwani polisi kitu gani? Achia namba hio baharia
 
Na muachwe tu
 
Mkuu umepata mimi ni 27 dem 25
 
Ok sawa
 
We ndyo Ulikuwa serious na mahusiano, na mpaka ukawa unayapangia future, yeye alikuwa kivyake, so don't cry.
 
We ndyo Ulikuwa serious na mahusiano, na mpaka ukawa unayapangia future, yeye alikuwa kivyake, so don't cry.
Ohoo hapana mkuu yey kanitaja hadi nyumban kwao lkn hata hivyo ndio nilikua serious nampenda of course nina wanawake wengi yeye hata akiambia kitu acha naachaa wengine siwasikiliz
 
Ohoo hapana mkuu yey kanitaja hadi nyumban kwao lkn hata hivyo ndio nilikua serious nampenda of course nina wanawake wengi yeye hata akiambia kitu acha naachaa wengine siwasikiliz
But alikuwa na multiple choice A-D, some body else finally succeed, na pia mkawa kwenye mazingira tofauti sana, ndyo maana unashangaa alinunua bed ya laki7 i.e embezzlement of funds😇🤣
 
But alikuwa na multiple choice A-D, some body else finally succeed, na pia mkawa kwenye mazingira tofauti sana, ndyo maana unashamgaa kununua bed ya laki7😆
Ndio mkuu halafu mi mbao tu na vanish na sio mninga imagine bro
 
😹😹😹 sijui nikupe pole au nikucheke??
Hao askari polisi na wajeda nyuchi zishatumika sana kambini hawana cha kupoteza, nadhani ushajifunza sasa..!! Doko mkuu puliza patapoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…