Nimeamua kuoa Msabato

Nimeamua kuoa Msabato

PF ndo nini?? ntawafuatilia zaidi wasabato
PF ni pathfinders au watafuta njia, ni vijana wadogo kuanzia 5yrs nadhani. Wanapewa mafundisho mbalimbali ya kiimani na kijamii, pia wapo AY ie. Adventist Youth na MG ie master guides. Hizi categories ni nzuri sana katika kuwajenga vijana kiimani na kijamii. Nazikumbuka ujanani sema shetwain nae kashafanya yake nadhani [emoji39]
 
PF ni pathfinders au watafuta njia, ni vijana wadogo kuanzia 5yrs nadhani. Wanapewa mafundisho mbalimbali ya kiimani na kijamii, pia wapo AY ie. Adventist Youth na MG ie master guides. Hizi categories ni nzuri sana katika kuwajenga vijana kiimani na kijamii. Nazikumbuka ujanani sema shetwain nae kashafanya yake nadhani [emoji39]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] hivi wasabato wananena kwa lugha kama walokole?
 
PF ni pathfinders au watafuta njia, ni vijana wadogo kuanzia 5yrs nadhani. Wanapewa mafundisho mbalimbali ya kiimani na kijamii, pia wapo AY ie. Adventist Youth na MG ie master guides. Hizi categories ni nzuri sana katika kuwajenga vijana kiimani na kijamii. Nazikumbuka ujanani sema shetwain nae kashafanya yake nadhani [emoji39]
Hahaha
 
PF ni pathfinders au watafuta njia, ni vijana wadogo kuanzia 5yrs nadhani. Wanapewa mafundisho mbalimbali ya kiimani na kijamii, pia wapo AY ie. Adventist Youth na MG ie master guides. Hizi categories ni nzuri sana katika kuwajenga vijana kiimani na kijamii. Nazikumbuka ujanani sema shetwain nae kashafanya yake nadhani [emoji39]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Shetani kama shetani!
 
PF ni pathfinders au watafuta njia, ni vijana wadogo kuanzia 5yrs nadhani. Wanapewa mafundisho mbalimbali ya kiimani na kijamii, pia wapo AY ie. Adventist Youth na MG ie master guides. Hizi categories ni nzuri sana katika kuwajenga vijana kiimani na kijamii. Nazikumbuka ujanani sema shetwain nae kashafanya yake nadhani [emoji39]
Kwa hiyo mkuu! Hahaha...Shetani kashakuvaaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimefikiria kwa makini sana nimeona ni jambo sahihi kuoa binti wa kisabato, sababu ni zifuatazo;

1. Nitaokoa zaidi ya milioni 2 kwa mwaka kutoka kwenye hela za kuhudumia nywele. Milioni 2 ni kama matofali 2000.

2. Kwenye msosi nitaokoa hela nyingi sana kwa mwaka zaidi ya milioni 3 kwasababu mama wenye nyumba hatataka kula kitimoto, rost nyama, mayai, biriani, pilau, cocacola, majani ya chai, maini, na vitu vingine vitamu yaani rojorojo.

Badala yake mboga za majani, juice ya mwarobaini, maharage, na matunda vitashika hatamu. NB: Kitimoto nitakula kwa siri bila mke kujua.

3. Nitakuwa na utulivu wa nafsi kwasababu wife sharti lake kuu ni kumwacha awe huru na sabato yake.

Isitoshe wachungaji wa kisabato sio kama kina Mwamposa ambao huwafanya mateka wa kiimani wake za watu.

4. Nina uhakika wa watoto wangu kuwa katika maadili mazuri kwasababu kanisa lina mambo mengi kwenye makuzi ya watoto. Kitu kama PF naunga mkono sana.

Ila watoto wakiwa wakubwa nitapiga marufuku kuhudhuria camps za vijana kwasababu ya kashfa ya ngono iliyopo.

5. Nitaimarika sana kiafya kwasababu SDA wako vizuri sana kwenye miongozo kuhusu afya kwa waumini wao. Ikumbukwe vitu vyote wasabato wanavyosema tusitumie vina madhara ambayo yamethibitishwa kisayansi sema ni ubishi wetu.

Kwa mfano kitimoto ni kitu hatari.

Kiukweli nataka nioe binti wakisabato ila kabla ya kuoa lazima nikague vyeti vyake. Kigezo cha ufaulu ni muhimu sana.

Lazima mke wangu kwa O-Level awe na C ya hesabu au zaidi, English kuanzia D.
100%you are kidding. Ndoa haiwekewi vigezo vingi hivyo kama ajira
 
Usishawishike na Sabato Maisha yamebadilika sana.... Mfno; garama za kutunza hizo nywele ni shidah wkati mwingine bora anayesuka tu

Cha msingi funga na kusali mwombe mungu akujalie mke mwema usiangalie Dini wala Kabila
 
Back
Top Bottom