I assume hujaona video zilizochukuliwa na wao wenyewe Oct 7 ndo maana unanyoropoka
Ila umeona hiyo chupi yenye rangi ya jeshi????? Hivi ungekuwa wewe ndiyo Mosad ukutane na raia kavaa nguo ya hamas utamuacha????
 
Ikirushwa humu video inayoonyesha alivyouwawa Ben Saanane basi wote hum mtabak vinywa wazi.

Tunapowashutum Hamas huku tukiwachekea wakina Makonda inashangaza.

Kama kuuliwa kikatili basi hakuna anayemfikia marehem Daud Mwangosi.
 
Upstairs uko sawa kweli? Magaidi wa Hamas wanachafuliwaje?

Hebu tueleze nini kilichotokea October 7?
Ile scanario ya kutekwa wengi wanadai palikuwa na Tamasha mambo ya show na hapo palikuwa na raia wa kigeni kibao .

Hata rocket za Hamas ziliua watu wachache na inakadiriwa mateka 200 na kitu walichuliwa ni kutokana na yule dogo aliyetoa ushuhuda ni Mtanzania ..

Inakuwaje pawe na special treatment wote wachukuliwa vizuri halafu huyu wamammalize na mwili wake waondoke nao ,mpaka sasa wanasema mwili upo kwa Hamas sasa ngoja tuone?

Kumbuka HAMAS walisharelease mateka kweny batch ya kwanza ,sasa iwejw wabaki na maiti!?
 
Kabisa, chupi itakuwa ilimponza, kiarabu sikijui ila nasikia neno elshabaab yaani ewe kijana!
Ni kweli, ile chupi ya kijeshi ilimponza sana. Vijana tuache kujifanya wajeda. Kibaya hata kama angewaeleza shida hamas wameumizwa mno tena sana na mashushushu wa mosad.
 
Yale ni magaidi. Kitoto cha miaka 3 kinafundishwa kuchinja hayo ni magaidi na yanastahili kuuawa ili amani iwepo. Mtu mwenye akili timamu hawezi kufundishwa kuvaa mabomu.
 
Maswali kuhusu mateka wa Tanzania yapo mengi kuliko hayo na mengine serikali yenyewe ingepaswa kuyatolea ufafanuzi
.Hawa watanzania walikwenda kusoma au walikwenda kufanya kazi mashambani au kazi nyengine za usafi majumbani .Kama walikwenda kusoma walipelekwa chuo gani cha kilimo.
Siku ya tarehe 7 oktoba walikuwa maeneo gani ya Israel.Isijekuwa walikamatwa ndani ya kambi za jeshi za Israel na hivyo Hamas wakawachukulia ni askari wa kawaida wa Israel.Kwa sababu kama hawakwenda kusoma yawezekana walikuwa ndani ya kambi wakifanya kazi nyengine.
Maswali hayo serikali inaweza kujibu kwa kushirikiana na balozi wa Tanzania nchini Israel au na balozi wa Israel nchini Tanzania.
 
Oh no. My heart is bleeding πŸ™ŒπŸΎπŸ™ŒπŸΎ Jamani mtoto wa watu alikuwa helpless and innocent. Mungu atusamehe jamani. May GOD meet him on the gates of heaven with open arms πŸ•Š
 
Msijizime data,


Kumbukeni hiyo ni vita na vita hii ina historia ya muda mrefu

Kwenye uwanja wa vita lolote linaweza kutokea, hata hao palestina wengi tu wameuliwa hata kabla ya vita iliyoanza karibuni, hivyo hapo hamna kuaminiana

Ndio maana unakuta hadi waandishi wa habari wengi wanauliwa tu.


Mimi sidhani kama kuna mtu ambaye anafurahia mauaji kama haya, ila napinga watu kuchukulia hamasa za kidini na kuona kundi fulani ni magaidi na kundi lingine ni wema.



Hao jamaa na waisraeli wote ni magaidi na wanachokifanya hakikubaliki.


Shida kubwa inakuja watu wengi wanaketa hamasa za kidini kwenye jambo serious kama hili.
 
Serikali yetu imeshindwa kuchukua hatua za uhakika juu ya watu wetu.pia nathubutu kusema hata kama tungekua na mateka wengi huko israeli naamini wangekufa tusingeweza kuwakomboa . Tumekua ni serikali ya kupokea kila tunachoambiwa badala ya ku demand.
 
Yale ni magaidi. Kitoto cha miaka 3 kinafundishwa kuchinja hayo ni magaidi na yanastahili kuuawa ili amani iwepo. Mtu mwenye akili timamu hawezi kufundishwa kuvaa mabomu.
Na hawa hapa mabawana zako?
 

Attachments

  • IMG_8244.jpeg
    70.7 KB · Views: 3
  • IMG_8243.jpeg
    48.9 KB · Views: 3
  • IMG_8245.jpeg
    74.7 KB · Views: 1
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…