Nimeona post za kumkumbuka Magufuli zimeongezeka sana mitandaoni. Je, sababu ndiyo hii ninayohisi mimi?

Nimeona post za kumkumbuka Magufuli zimeongezeka sana mitandaoni. Je, sababu ndiyo hii ninayohisi mimi?

Na bado tu kutangaza ule mnada wa majobless 😂
Pengine watapatikana watu wawili tu au watatu

Nchi imejaa watu wengi walioajiriwa kwenye mashamba yaliyotapakaa nchi nzima.

Umesahau October 2020 tulifanya mapinduzi ya kijani? haya yamesaidia kuinua kilimo chetu cha mbogamboga.

Wengine tumejiajiri, tunamiliki viwanda. 🤣🤣
 
Pengine watapatikana watu wawili tu au watatu

Nchi imejaa watu wengi walioajiriwa kwenye mashamba yaliyotapakaa nchi nzima.

Umesahau October 2020 tulifanya mapinduzi ya kijani? haya yamesaidia kuinua kilimo chetu cha mbogamboga.

Wengine tumejiajiri, tunamiliki viwanda. 🤣🤣
Sa itakuaje mama mtumishi akisombwa kwenye mnada?😂
Au aingie kwenye ajira ya mbogamboga🤔
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Sa itakuaje mama mtumishi akisombwa kwenye mnada?😂
Au aingie kwenye ajira ya mbogamboga🤔
Wanalipa buku 7 kwa siku.

Kuna ajira za palizi na kuchuma mboga.

Lakini pia kuna ajira zingine za kuzalisha pumba tayari kwa kuzipeleka mitandaoni
 
Wanalipa buku 7 kwa siku.

Kuna ajira za palizi na kuchuma mboga.

Lakini pia kuna ajira zingine za kuzalisha pumba tayari kwa kuzipeleka mitandaoni
😂😂😂😂
Kwa unavyoniona mimi baba ,unadhani ipi inanifaa hapo?
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
😂😂😂😂
Kwa unavyoniona mimi baba ,unadhani ipi inanifaa hapo?
As long as unafahamiana na mmoja kati ya ma bwana shamba, Bia Yetu...jikite tu kwenye palizi. Atakua anakupa favor
 
As long as unafahamiana na mmoja kati ya ma bwana shamba, Bia Yetu...jikite tu kwenye palizi. Atakua anakupa favor
🤣🤣🤣🤣😂😂🙌🙌🙌🙌
Una uchizi mwingi😂😂😂😂😂😂
 
  • Kicheko
Reactions: Pep
Inavyoonekana katika siku za hivi karibuni kumekuwa na ongezeko kubwa sana la watu mbalimbali katika mitandao ya kijamii, wakipost picha za hayati Magufuli na kuambatanisha na jumbe za kumkumbuka na wakati mwingine emoji za majonzi au moyo kuchanika.

Hii ikanifanya nijiulize, mbona viongozi wengine hufa na akisha kufa mnaishia kuomboleza na kusahau!?

Ndipo likanifanyi nihisi kwamba zipo sababu mseto za watu kumkumbuka huyu kiongozi ambazo ni kuondolewa machinga, bei za bidhaa kupanda hovyo, kutomkubali mrithi wake, kutoridhishwa na uendelezaji wa miradi aliyoisimamia na kurudishwa madarakani watu aliowatumbua.
Ni kweli nimeona hiyo Fb nikajiuliza kulikoni
 
Karata za Magufuli ilikuwa ni kupora uchaguzi, ndio karata hizo zichezwe?
cha mtoto mbona.

2025 uchaguzi na Magufuli na wapinga magufuli.

Atakae cheza karata za Magufuli anaingia ikulu asubuhi tu.
 
Back
Top Bottom