Ndio analipa sana tu ๐Nimefurahi kuskia hv
Unaweza kusema nalipa pia maana huyo mnaye mzungumzia ndio mimi hapa..Ndio analipa sana tu ๐
๐ ๐ ๐ ๐Unaweza kusema nalipa pia maana huyo mnaye mzungumzia ndio mimi hapa..
Kuwa huru usiogope ๐ค๐ค๐ค๐ค
Ur welcome๐ ๐ ๐ ๐
Denzel ni mtu wa mapesa ๐Ur welcome
Ninayo hadi yana mwagikaDenzel ni mtu wa mapesa ๐
Kweli Hata Wahuni huzeeka.Mi mwenyewe nimemuona Jakaya jana, nikasema kumbe uzee ukifika umefika.
Ni kweli jamaa anazeeka kweli, kila movie anayotoa cku hizi kazeeka zaidi. Hata zile equalizers, ukicheki ya kwanza muonekano wake ni tofauti kabisa na ile ya tatu.Nilianza kuangalia movie yake kitambo akiwa kijana kabisa ikiitwa mississippi masala,zikaja Training Day,dejavu,man on fire,inside job,american gangster,great debetors,malcom x,manchurian candidate,antwoine fisher nk.
Huko kote alionekana akizeeka taratiiibu
Juzi nimeona picha yake akiwa na miaka 70,amezeeka ni babu,uzee is real.
Mke wake ambaye ni mkubwa kiumri kumzidi miaka4,mshangazi Paulleta bado mbichi kabisa.
Wanawake wamarekani na ulaya hawazeeki ovyoView attachment 3214316
Mwamba hapo alipo saivi anatafuta mwaka WA ngapi mkuu๐Mi mwenyewe nimemuona Jakaya jana, nikasema kumbe uzee ukifika umefika.
Nilikuwa natafuta hii comment"The Equalizer"
Unazeeka mkuu. Huna maraisi wawili baada ya Samia tayari uzee utakuwa umewasili. Wakati unakimbia mno.MIaka 40+nakuwaje mzee sheikh na nina wake wengi,oa wake wengi ukimbize uzee
Huyu jamaa yuko strong sanaWengine ni maradhi ndio huwafanya hivyo na wengine ni genetics......
Ernie ana miaka 79
View attachment 3216148View attachment 3216149
View attachment 3216147
Mwamba anaitafuta 80, sasa hivi 74 duniani hapa.Mwamba hapo alipo saivi anatafuta mwaka WA ngapi mkuu๐