Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 21,237
- 31,811
GDP is overrated ni mfumo wa kibeberu kuficha umaskini tu.Mkuu ulinganishi wa Nigeria yenye population ya 213 milll na Tanzania 63 mill..automatically GDP yao itakuwa kubwa .mahitaji na uzalishaji wao ni mkubwa kwa hiyo pupolutaion...halafu mambo ya wazungu kutuletea GDP kama kipimo cha uchumi imepitwa na wakati maana haileflect maisha halisi ..
Tajiri mmoja anazalisha T 10 halafu vijakazi wake mia mbili wanazalisha 1000 na wote wanawekwa kapu la uchumi unakuwa kwa GDP.