Kanali_
JF-Expert Member
- Nov 18, 2018
- 6,438
- 10,180
Unahitaji elimu ya uchumi, ulichoandika kinaonesha wazi huna ujuacho kuhusu uchumi.Anzia hapa. Kwacha 1~183 tsh. Hivi utakua na maendeleo kwa hali hii.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unahitaji elimu ya uchumi, ulichoandika kinaonesha wazi huna ujuacho kuhusu uchumi.Anzia hapa. Kwacha 1~183 tsh. Hivi utakua na maendeleo kwa hali hii.
Kwenye GDP unalinganisha visivyolinganishika.Nigeria imetuzidi vyote
Rwanda wana mafuta?Acha upuuzi wako,hivyo vimapambo utalinganisha na mafuta? Umewahi sikia uchumi wa Dunia ukayumba Kwa sababu ya kukosa Tanzanite?
Kwenye top 15 ya gas Tanzania haipo
Kama Tanzania Kuna Almasi Botswana,Angola na South Africa watasemaje?
Kwa taarifa Yako tuu kati ya vyote ulivyotaja hapo Nigeria hawana Makaa ya Mawe tuu ambayo ni useless Duniani.
Tanzania inajitahidi kwenye dhababu tuu lakini Dhahabu sio hitaji la lazima kwenye uchumi wa Dunia kulinganisha na mafuta na hiyo Dhahabu ipo karibu Kila Nchi.
Sasa wewe umewahi isikia Rwanda kwamba Ina uchumi mkubwa?Rwanda wana mafuta?
Hivi unajua sisi tunaizidi Kenya kwa uwingi wa watu?Kwenye GDP unalinganisha visivyolinganishika.
Timu ina wachezaji zaidi ya 215 milioni unaishindanisha na timu ina wachezaji hawajafika hata 65 milioni.
Yani Tanzania tukiifanya idadi yetu iwe mara tatu ya sasa, bado hatujaifikia idadi ya watu ya Nigeria kwa sasa.
Sasa hapo unalinganishaje GDP?
Toa hii hoja ya GDP kwanza tuangalie mengine kama unataka a fair comparison.
Uchumi unabebwa na GDP ndio SI unit yake.Kwenye GDP unalinganisha visivyolinganishika.
Timu ina wachezaji zaidi ya 215 milioni unaishindanisha na timu ina wachezaji hawajafika hata 65 milioni.
Yani Tanzania tukiifanya idadi yetu iwe mara tatu ya sasa, bado hatujaifikia idadi ya watu ya Nigeria kwa sasa.
Sasa hapo unalinganishaje GDP?
Toa hii hoja ya GDP kwanza tuangalie mengine kama unataka a fair comparison.
Dhahabu, almasi, tanzanite, uranium, aluminium (bati), lead (risasi), chuma, gesi, ulanga(vioo), Cobalt, nickel n.k. Je, hizo zote si raslimali? Au unataka tuwe na nn?Nigeria wana Mafuta na Bati wewe Tanzania una nini zaidi ya kodi?
Pamoja na yote hayo Tanzania imejaaliwa Mazezeta wasioweza kupanbania rasilimali kuporwa wako radhi wauane kwa ajili ya Simba na Yanga.Tanzania ila gas asilia, madini ya kutosha, mlima kilimanjaro, makaa ya mawe, chuma, maziwa, bahari nk
Tanzania ni kubwa kuliko Nigeria kwa tofauti ya kama kilometer za mraba 23,000 ila population yake ni karibu 224 milion. Watu na raslimali zinazosimamiwa vizuri ndo factors kubwa na za msingi katika kukuza uchumi.Kumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
Shida yetu ni zaidi ya uongozi, tuache kulaumu uongozi tu.Hivi unajua sisi tunaizidi Kenya kwa uwingi wa watu?
Shida nchi yetu ni uongozi,ifike mahali tufanye free and fair election,yawezekyawezekana tumapata viongozi bora,kuliko sasa hivi tunapopata viongozi mchanganyiko,yaani wazuri na wabaya,kwa maelekezo.
Mikopo na grants zipo kwenye gdp!?Sasa kama ni hivyo aliyelinganisha Tanzania na Nigeria alitumia vigezo gani?
GDP ni pato la taifa. Pato zima la taifa ni matokeo ya kodi, mikopo, grants utalii na kila kitu. Hii haitegemei sana population bali uwekezaji katika nchi husika. Ndio maana Israel inatuzidi GDP licha ya kuwazidi population.
Kuupima uchumi kwa GDP tu kunaweza kukufanya uione nchi masikini yenye watu wengi wanaoishi kwa uchumi wa dola 2 za Kimarekani kwa siku (Nigeria, GDP 440.8 billion USD, 2021) kuwa ni tajiri kuliko nchi kama Mauritius yenye GDP ya 11.53 billion USD.Uchumi unabebwa na GDP ndio SI unit yake.
GDP has nothing to do with Population
Kama ni hivi, Rwanda wanatuzid wapiNigeria wana Mafuta na Bati wewe Tanzania una nini zaidi ya kodi?
Hata ukitumia per capita bado wametuzidi kwa ratio ya 1.9:1.3 kwahiyo kwa hapa bado tumezidiwa.Kanuni muhimu ya kulinganisha ni kulinganisha vinavyolinganishika.
Yani, linganisha machungwa na machungwa, matufaa na matufaa.
Usilinganishe machungwa na matufaa.
GDP ni hesabu inayoweza kukupotosha.
Kwa sababu, haiangalii mgawanyo wa watu.
Ni hivi, ukiwa na nyumba A yenye watu 10, na kipato cha shilingi milioni 10, halafu ukawa na nyumba B ya mtu mmoja, mwenye kipato cha shilingi milioni tano, utasema hiyo nyumba A yenye watu kumi na kipato cha shilingi milioni 10 imeizidi uchumi nyumba yenye mtu mmoja na kipato cha shilingi milioni tano?
Huoni kwamba ukifanya hesabu hapo ukagawanya utapata nyumba A kwa wastani kila mtu ana kipato cha shilingi milioni moja, wakati nyumba B mtu mmoja ana kipato cha wastani cha shilingi milioni tano?
Ni bora uongelee GDP per capita, ambayo inachukua GDP na kuigawanya kwa idadi ya watu, ukapata kila mtu ana GDP per capita gani.
Nigeria ina watu zaidi ya milioni 215, Tanzania haijafikisha hata watu milioni 65. Maana yake unaweza kuzijumlisha Tanzania tatu kwa idadi ya watu, na bado usiifikie idadi ya watu wa Nigeria.
Unaweza kujumlisha idadi za watu wa Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, Zambia na Sudani ya Kusini, na bado usiifikie idadi ya watu ya Nigeria.
Sasa hapo unaona kuzilinganisha nchi mbili hizi kwa GDP tu ni sawa?
Utajiri wa kweli sio rasilimali bali ni akili. Uingereza haina rasilimali yoyote lakini ilitawala dunia. Leo hii pale Israel kuna rasilimali gani?Wewe na mtoa mada mna matatizo makubwa sana.
Uache kushangaa Kenya,Angola na Ethiopia kutuzidi uje kushangaa Nchi yenye Uchumi mkubwa Afrika kutuzidi?
On top of that Nigeria ndio inaongoza Afrika Kwa mafuta Sasa hapo kipi Cha kushangaza maana wanatuzidi Kwa Kila kitu kuanzia Utajiri wa rasilimali Hadi idadi ya watu na Ukubwa wa Nchi.
Umesoma uchumi buda GDP ya nchi ukijua iloubwa sana kaaa t kfautou na nigeria yettokana na mamb meng kwaiyo atuwez kufanana kwanza population fulani inakua kuKumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na ie GDP itu vinavo fanya uchumesmnchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
Thamani ya pesa isitoe taswira ya hali ya uchumi.
Hao nigeria wenyewe hela yao inazidiwa thamani na hiyo kwacha,haya pima uchumi sasa
GDP haipimwi hivyo, obvious ukiwa na wananchi 200m plus huwezi kuwa na GDP kuliko nchi yanye watu million 60 kama Tanzania!!. Huwa tunachukua GDP tunagawa na population ya wananchi ukifanya hivyo Nigeria inakua almost USD 2000 na Tanzania ni USD 1000. So wametuacha nusu tu.Kumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
GDP is overratedKumbe nchi yetu imezidiwa kiasi hiki na nchi yenye boko haram? Yaani kweli wao wanakaribia gdp ya bilioni 400 usd wakati sisi tupo kwenye bilioni 80s usd?
Hii ya per capita ndiyo point ya kuongea, si pure GDP.Hata ukitumia per capita bado wametuzidi kwa ratio ya 1.9:1.3 kwahiyo kwa hapa bado tumezidiwa.