witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,704
- 47,260
Inabidi hii biashara usali sana sana...Ila STONE katibua kinoma, hali haikuwa hivi[emoji848]Yaani watu walivyowasumbufu kwenye kulipa,sijui wakopeshaji wanatumia mbinu gani kupata faida..mikopo ya kukatwa juu kwa juu ndo atleast aisee
Ila ni biashara nzuri ukipata watu waaminifu