mkuu umeshindwa kabisa kuuficha ujinga wako hata ukaamua kujidhalilisha namna hii?Huyu mchengerwa si msukuma huyu , ambae ameshirikiana na jiwe kujaza wasukuma kila sehemu Leo , Leo wasukuma wamekosa mtu wa kuwabeba wanalalamika.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mkuu umeshindwa kabisa kuuficha ujinga wako hata ukaamua kujidhalilisha namna hii?Huyu mchengerwa si msukuma huyu , ambae ameshirikiana na jiwe kujaza wasukuma kila sehemu Leo , Leo wasukuma wamekosa mtu wa kuwabeba wanalalamika.
Mama ubaya kajaHuyo maza ana kazi maalumu ya kudhibiti ongezeko la mishahara, kikokotoo kurudishwa na hapandi mtu daraja.
Siwezi Lilia jitu kama Lukuvi limekaa serikali zote sijui kitu kipi cha maana amefanya.Likewise Lukuvi
Ukiwa boss hutakiwi kumlea mtumishi wa chini kama mwanao,bali unatakiwa kumtumikisha.Mchengerwa ni waziri bora kabisa, Mama Samia, watanzania wanakulilia, mrudishe Utumishi, huyu ni kiongozi kweli kweli, na ni mkweli kabisa..
Mchengerwa, sijui kama Watumishi wa Umma watampata Waziri bora kama Mchengerwa..
Mama Samia, sikia kilio cha watu wako.
Acha uzushi. Nani kamlilia? 🙄Hadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Ukweli mchengerwa ingawa ni mkwe wizara alikuwa ameimudu.Hadi sasa nimegundua ni Mawaziri wawili tu wanaoliliwa sana na wale waliokuwa wakiwatumikia.
Mawaziri hao ni aliyehamishwa Wizara mh Mchengerwa na yule aliyetumbuliwa mh Lukuvi.
Why?
Mimi hapa, nimemlilia Mchengerwa...huyo Lukuvi aende tuAcha uzushi. Nani kamlilia? 🙄
Anajua kujipendekeza hatoki mpaka atembelee fimbo.Huyo Jenister hata nyie MATAGA mmemchoka.,sema ndo basi tu. She is soo lucky.
Mganga wake kiboko, atugaie namba.Anajua kujipendekeza hatoki mpaka atembelee fimbo.
Mchumia tumboTunataka Mchengerwa arudi! Mtu anafanya kazi vizuri mnamtoa! Kweli ngozi nyeusi Bado tuna safari ndefu! Hivi huyu jenista sijawahi ona la maana alilofanya, bungeni alikuwa ni mama wa kuwawekea wenzake mapingamizi.....taarifa spika,.....taarifa! Leo wanamuweka Wizara nyeti inayodeal na watumishi! Bure kabisa!