CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Uspesho wake lile sambwanda lakeMakonda ni spesho
Kila mwanadamu Ni spesho
Tambua uspesho wako uutumikie
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uspesho wake lile sambwanda lakeMakonda ni spesho
Kila mwanadamu Ni spesho
Tambua uspesho wako uutumikie
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hamna cha wivu wala nini ukweli ni kwamba vitu vinavyofanywa na huyu kijana ni vya hovyo na kishambaaa.
Yeye na Mtaka nani anafanya kazi vizuri? Umewahi ona wapi Mtaka au wakuu wa mikoa wengine wanafanya huo ujinga?
Ndo maana nchi inabaki masikini na kuwa ya hovyo hii
Wameenda wenyeweSasa kuna ulazima gani kwenda na wakuu wote wa idara
Kwa sababu makonda anaujinga ujinga mwingi na watanzania wengi ni wajinga wajinga hivyo sishangai na ni sahihi kabisa wajinga wakikutana kufurahiana.Acha kuweweseka na kuwa na wivu wewe. Mwamba Makonda ni kipenzi cha watanzania.ndio maana unaona watu wakifurika na kumiminika kwa hiyari yao wenyewe kwa ajili ya kumpokea Mwamba na Tumaini la wana Arusha na kanda ya kaskazini kitovu cha utalii na Geneva ya Afrika.
Huna hoja, kauli kama hizi hutolewa na watu wenye vinasaba vya kibashite bashite. Naweza kuwa nakulaumu kumbe ndiyo hivyo tena siyo kosa lakoNashangaa umeachana nae huku ukilalama huku JF?. Hizi ni tabia za kike za nataka sitaki.. au wewe ni ke.
Mimi nadhani watu walioenda kumpokea Bashite ni watu dizain yakoKama umeumia sana si unywe sumu tu yaishe. Watu wanaenda kupokea mtu wao wewe inakuuma nini?
Na wewe si ujipange uende kumpokea Mdude stendi ya mabasi.
Mkuu una maana hao wakuu wa idara wana akili kama Bashite?Wameenda wenyewe
Mshirikina,Bashite ndiye alimfundisha Jiwe ushirikinaLabda niulize,Makonda ndo kawaamuru boda boda waende kumpokea? Ndo kaamuru watu wasimame kumuangalia? Na aliwezaje kufanya hayo wakati alikuwa hajaripoti Arusha?
FactsMakonda anakarisma ya kupendwa.
Nilipita jana karibu na jengo la CCM nikakuta vikundi vya vijana wa CCM na wakina mama nikauliza kuna nini wakasema wanamsubiri Mwenezi mpya wa CCM. Nikauliza Kwa makada flani wakaniambia alipokuja Makonda kulikuwa na mafuriko ya watu walijaa hadi Gandhi Hall na wengine karibu na kituo cha polisi.
Wakasema mpya hana influence.
Tumuache tu huyu jamaa amalize zamu yake kwa namna yake na yeye.
Pamoja mkuu,ila nikurekebishe kidogo hapo, sema anakwenda kuongoza watu wenye upeo dizain yako kushika chinianakwenda kuwaongoza wanainchi waTanzania katika ujumla wao, Full stop...
Mkuu lianzishe basi kwenda kumpokea mdude stendi ya mabasi. Najitolea kukupiga tafu 😆😆Mimi nadhani watu walioenda kumpokea Bashite ni watu dizain yako
Nikampokee ili iweje mkuu? Pia jua watu wote siyo kama wewe,ndiyo maana watu dizain yako ndiyo mliende kumpokea Bashite. Ila all in all hamkufanya kosa lolote kwani ni haki yenuMkuu lianzishe basi kwenda kumpokea mdude stendi ya mabasi. Najitolea kukupiga tafu 😆😆
Sasa, kama watu wote siyo kama wewe, .... na waliofanya hivyo hawakufanya kosa lolote; lawama zako kwangu zinatoka wapi? Mbona unakinzana wewe mwenyewe?Nikampokee ili iweje mkuu? Pia jua watu wote siyo kama wewe,ndiyo maana watu dizain yako ndiyo mliende kumpokea Bashite. Ila all in all hamkufanya kosa lolote kwani ni haki yenu
Mim sijakulaumu ,kusema umeacha shughuli zako na kwenda kumpokea Bashite siyo lawama,labda kama na mimi ningekuwa nakutegemea uje kunipokea then unaenda kwa Bashite labda hapo ningeweza kukulaumu.Sasa, kama watu wote siyo kama wewe, .... na waliofanya hivyo hawakufanya kosa lolote; lawama zako kwangu zinatoka wapi? Mbona unakinzana wewe mwenyewe?
Hii nchi wajinga mko wengi sanaAliagiza watu waende kumpokea? Muache kijana achape kazi, angalau tuendelee kumkumbuka JPM.
😂😂😂😂😂😂Makonda kanyaga twende huyu ndio rais ajae na ndio tunamtaka
Ukiwaangalia vizuri hao watu unakuta wana akili kama zakoWatu wanamuona JPM ndani ya Makonda !!😅😅. 🙏
Nadhani kuna kitu umejifunza hapoAnachofanya huyu jamaa ni utoto wa hali ya juu, leo asubuhi nilikuwa nina kikao na Lema,kufika kwake naambiwa na yeye kaenda kumpokea Makonda.
Jitambue.Huna hoja, kauli kama hizi hutolewa na watu wenye vinasaba vya kibashite bashite. Naweza kuwa nakulaumu kumbe ndiyo hivyo tena siyo kosa lako
bila fikra za kibaguzi, anakwenda kuwaongoza na kuwaonyesha njia watu wa Arusha ktka ujumla wao bila kujali jinsia zao, dini zao, siasa na kazi zao, rangi n.k.Pamoja mkuu,ila nikurekebishe kidogo hapo, sema anakwenda kuongoza watu wenye upeo dizain yako kushika chini