Mmeshaanza mambo yenu. Umetumia kigezo gani mkuu?😅😅😅Sifa lazima tutoe pale inapostahili.
SIdhani kama afrika kuna msanii mwenye akili kama ROMA!
NIPENI MAUA YANGU.
Abiud Mishori au Abiud Nani ?Sifa lazima tutoe pale inapostahili.
SIdhani kama afrika kuna msanii mwenye akili kama ROMA!
NIPENI MAUA YANGU.
Self evaluation, sio everyone evaluation
Ila kwa bahati mbaya, kwenye bandiko lako hujasema kama hiyo ni self evaluation. Umeongea as if ni proven fact kwa kila mtuNimefurahi kuona una akili atleast ya kujua hii ni "Self evaluation"!
Tueleweshane baadhi ya verse kwenye Ile wimbo. Me nata kujua pale aliposema.Sifa lazima tutoe pale inapostahili.
SIdhani kama afrika kuna msanii mwenye akili kama ROMA!
NIPENI MAUA YANGU.
Wote hao ni wafaransa,😆 sasa we changanya na zakoTueleweshane baadhi ya verse kwenye Ile wimbo. Me nata kujua pale aliposema.
"Klosi anapga ngolo kante, inamkuta mbape anafunga Pogba"
Tueleweshe mzeeWote hao ni wafaransa,[emoji38] sasa we changanya na zako