Nawazungumzia hao waliosifiwa kwenye platform siyo hao wa ManzeseMbona kwaya zinazotumia hivyo vifaa kama magita zipo nyingi tu, mfano Manzese SDA church Dar.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Pia hata hao uliowazungumzia ni waimbaji wa nyimbo za Mungu wa kujitegemea wala si kwaya za Kanisa flani kama kwaya (waimbaji tofauti tofauti wenye muunganiko wa sauti zote 4).Nawazungumzia hao waliosifiwa kwenye platform siyo hao wa Manzese
Tuachane na hayo masuala mengine tuzungumzie nyimbo zao bora zenye kuburudisha vyemaNingewapa maua iwapo wangeshika guitar, keyboard, drums, trumpet nk wakapiga wenyewe live badala ya kupigiwa na computer
Mimi nawapa maua yao kwa
Ila sifurahishwi na kitendo chao cha kuwashambulia wakatoliki kwamba Papa ni mnyama
- Usafi wa mavazi, mwili na mazingira
- Ulaji wa vhakula asili
- Kwa akina mama kukata nywele badala ya curl kit
- Nidhamu katika ibada
Wakenya kwaya za SDA wapo vizuri balaaKuna wakenya wanautw ministries wanaimba balaa
Upo sahihi kabisa wasabato wanaimba bila hata kuruka majoka lakini una burudika vyemaHao wengine wanasifu ila wasabato wao wanaimba hakika!!
Ningekulia katika usabato ningeshukuru sana, wasabato hawana haraka wametulia wakatulia!
Ahsante sana mkuu ngoja nitausikiliza nikituliaNAkutumia nyimbo Kali kuliko zote ulizozitaja Hapo juu. Kagoro sda wimbo unaitwa ka uwodha oserumo
Wacha niburudike na hizi1. Ayubu - Imba kwa akili.
2. Ni vyema - Light Bearers.
3. Heka heka za maisha - Iringo SDA Church.
4. Maisha ya dunia - Rock Of Ages Ministry.
5. Niacheni niseme - Kingongo SDA Church.
6. Umoja - Tanika Family.
7. Utukuzwe - Nyegezi SDA Church.
8. Mwingi wa rehema - Light Bearers.
9. Msalaba - Ambassadors Of Christ.
10. Usisononeke - Glorious Singers.
11. Msitu wa ajabu - Mbiu SDA Church.
12. Kisa chake - Burka SDA Church.
13. Ebenezer - Ukonga SDA Church.
14. Naliona mkutano Mkubwa - Chalinze SDA Choir.
15. Nakuomba Roho Mtukufu - Moshi Central Adventist Youth Choir.
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Burudani ni pamoja na ufundi na umahiri wa kuchanganya ala za vyombo vya muzikiTuachane na hayo masuala mengine tuzungumzie nyimbo zao bora zenye kuburudisha vyema
Kama unaelewa kinyarwanda sikiliza huu. Sio wasabato ni RC napenda midundo ya ngoma zao na wachezavyoAseneno naupenda sana.
PamojaBurudani ni pamoja na ufundi na umahiri wa kuchanganya ala za vyombo vya muziki
Hayo ni mawazo yako upo huru kuwa hivyo ulivyoWewe ni msabato tu. Kuna mwenzio alianzisha thread yake ya kushawishi watu wawe wasabato alipewa nondo hadi alikimbia. [emoji23][emoji23]
Kinyarwanda hata sikielewiKama unaelewa kinyarwanda sikiliza huu. Sio wasabato ni RC napenda midundo ya ngoma zao na wachezavyo
Daaah pole, basi sikiliza hivo hivoKinyarwanda hata sikielewi
Sure,na wao ni binadamu pia...binadamu si wakamilifu.Wazinifu wapo Mkuu.
Ila wapo pia waaminifu Sana Mkuu.