Njoo uifahamu Taxi Mtandao BOLT/UBER

Mkuu huwa inagharimu kiasi gani kupata leseni ya pikipiki?
 
LESENI

DARAJA C1 = LESENI KWA MAGARI YA ABIRIA 15-29 KUSHUKA CHINI

C3 = MAGARI MADOGO YA ABIRIA WASIOZIDI WA4
 
Je kama hutak gar yako iwe na namba nyeupe haiwezekan?
Inawezekana, unaweza ukawa na plate ya njano ukafanya biashara ya Uber ( Japo kihunihuni, na kiujanja.. mamlaka zikikutia nguvuni uandae maelezo ya kutosha) Maana hiyo nyeupe ni yaliyosajiliwa kibiashara so watasema unawakimbia kwenye matozo na kodi

NB: Nimejaribu kujibu kadiri ninavyojua

Naomba akikujibu nitag mkuu!!
 
Tembelea kituo chochote Cha t.r.a ukiwa na Tin Yako au nida...miongozo mingine utaikuta huko huko....japo nasikia siku hizi kupata leseni Hadi uwe umeenda driving school
wanataka cheti cha kueleweka cha driving course mzee baba siku hizi na kiwe kimetoka mojawapo ya vyuo hivi
  1. VETA
  2. NIT
  3. UJENZI MOROGORO
  4. POLISI UFUNDI - DAR
Na kama ni vyeti vya nje ya hivyo vi4 hapo juu (yaanii vyuo binafsi), basi ni lazima viwe na sifa kuu mbili ambazo ni;
1. Muhuri na Sahihi ya Regional Traffic Officer (RTO) wa mkoa husika
2. Kuonesha madaraja ya leseni ambayo dereva anapaswa kupewa
 
Ila vya veta havina Madaraja...ya Leseni...maana Mimi nilisoma course ya refreshing pale Tanga lakini cheti changu hakikuwekwa Madaraja... Nilisoma VETA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…