Kiongozi Dharafu Nimekuelewa, Ahsante kwa darsa lakoMkuu NUMBER 10 dawa ya wivu(ambao Mara nyingi hupelekea husuda) ishapatikana kitambo sanaa mkuu wangu ni kujaribu tu kumsifia kumpenda na kuungana nae huyo unaemuonea wivu na ikiwezekana kumuombea dua njema haswa! Kwa hiyo mshauri huyo mkuu namna ya kutibu huo ugonjwa wake
Yaani ujinga ujinga tu injiniaKwamba kabla ya hii ndoa hapakuwa na hitaji la kubrand NSSF, ila baada ya hawa kutangaza kuoana ghalfla bin vuu, NSSF wakapata uhitaji wa kujibrand, how ridiculous an arguement that would be!
More than ilitating hawa jamaa kulipa pesa za watu ni tatizo lkn wanaenda kudhamini harusi,aisee wanatakiwa kuchapwa vibokoHamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.
Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?
Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?
THIS IS IRRITATING...
View attachment 2292838
Hiyo ni strategy ya biashara,hao ni "celebrities"wanakuwa celebrated na jamii,kwcheki views kwenye akaunti zao uone,hao sio kama wewe wa buza kwa mparange!!Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.
Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?
Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?
THIS IS IRRITATING...
View attachment 2292838
NSSF wapo kwenye monopoly business sasa kwanini wanatumia hovyo pesa za wanachama?Tatizo liko wapi NSSF kudhamini ndoa ya watanzania kibiashara?
[emoji23][emoji23] Kama akili yako inafananisha CRDB na NSSF basi utakuwa na shida mahali duhUmejijibu mwenyewe Nandy na Billnas sio majina yako ya ukweli ni brand names za usanii hivyo hata wewe umeshajibu hapo sio raia wa kawaida bali ni brand. Pili Mashirika ya umma yana utaratibu wao na bodi yao na wakurugenzi. Kama matumizi ni mabaya kuna ripoti ya CAG ambayo inakagua mahesabu yote. Mfano kama wametoa pesa 20M kusaidia kutangaza jengo au ukumbi na ikasaidia kuongeza soko kuna ubaya gani.
Usanii ni brand sio mtu ni kama kampuni hivyo sioni tatizo lolote. Wakati wa Magufuli mvuta bangi wa konde gang alitangaza CRDB
Mwanachama anaongezekaje kama ajira hamna,na hio ipo automatic ukiajiriwa unakua mwanachamaWe jamaa una uliza vitu vya kitoto, matangazo ni sehemu ya majukumu ya taasisi au kampuni, return yake ni kuongezeka kwa wanachama hivyo basi kaa tulia tusubiri output hiyo
Ndo maana zinapigwa promo ili ziuzike, zilijengwa na mjinga mmoja enzi za jkKwani nyumba zinauzika
Ova
Kwani huyo billnas ni nan?,si ndio yule video yake ilivuja anampiga mafinger ya tigo huyo Nandy,acheni mambo yenu kama wana wanakushawishi ni wwNSSF wametoa ufafanuzi wa Kwanini wamedhamini ndoa ?kama hujasikia maelezo yao hauoni utakuwa unalalamikia kitu ambacho hujui kimefanyika kwa sababu gani...
I mean NSSF hawawezi kufanya kitu kisicho kuwa na faida kwao hebu jifikirie tu bilnass ni nani hasa hadi udhani NSSF watoe tu Hela bila wao kufaidika
Ina maana bado hawajapata majibu tu kwanini aziuziki,watu hawana munkariNdo maana zinapigwa promo ili ziuzike, zilijengwa na mjinga mmoja enzi za jk
Wapo watu wameajiriwa ila hakuna wanachochangia, inaweza kuwa uhuni wa kampuni hizo au watu hawaoni umuhimu wa nssf, hapa lazima mema ya taasisi yatangazwe hata msibaniMwanachama anaongezekaje kama ajira hamna,na hio ipo automatic ukiajiriwa unakua mwanachama
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]Hiyo ni strategy ya biashara,hao ni "celebrities"wanakuwa celebrated na jamii,kwcheki views kwenye akaunti zao uone,hao sio kama wewe wa buza kwa mparange!!
NSSF wao wameona fulsa na wanaitumia, biashara haichagui wa kufanya nae as long as faida inapatikanaKwani huyo billnas ni nan?,si ndio yule video yake ilivuja anampiga mafinger ya tigo huyo Nandy,acheni mambo yenu kama wana wanakushawishi ni ww
Yaani pesa za umma hazituhusu, au ni shirika binafsi lile?
Magufuli alishawaambia Watanzania ipo siku mtanikumbuka.Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.
Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?
Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?
THIS IS IRRITATING...
View attachment 2292838