NSSF kudhamini ndoa ya Billnas na Nandy: Kweli Rais Samia hili ndilo unalotaka kwa ajili ya watu wako? Siamini

NSSF kudhamini ndoa ya Billnas na Nandy: Kweli Rais Samia hili ndilo unalotaka kwa ajili ya watu wako? Siamini

Nilipo bold unaniuliza halafu unajijibu mwenyewe sikuelewi.
Any way embu uweke hapa huo ufafanuzi wa NSSF Kwa nini wamedhamini hiyo
Wewe ndio unatakiwa ujibu hayo maswali , Kwanini unalalamikie kitu ambacho hujui kimefanyika kwasabu gani...nimekuuliza umesha sikia chochote kutoa kwa NSSF wakieleza hiki, nime assume haujasikia ndio nakuuluza Kwanini unalalamikie .

Mimi sijasikia sababu ya kudhamini ndoa lkn siwez kuwalaumu kwasababu naamini wale ni wasanii ,wafanyabiashara hivyo NSSF hawawezi kufanya kitu wasichofaodika nacho
 
Wadau wa JF ,
Mbona swala hili ni jepesi sana halafu linapewa uzito hivi ,kadri mnavyolijadili ndivyo hawa watu wanaonekana wamefanya marketing strategic sahihi zaidi hili hamlijui tuuu.
Hapa NSSF hawapo kutangaza watu kujiunga na shirika, wanachotangaza ni mradi wa nyumba uliopo kigamboni, kujiunga NSSF utajiunga tu as longer as umepata ajira sekta binafsi hili halina mjadara, Wao kwa sasa wameweka tension kwenye huo mradi wa nyumba, sasa wakatumia nafasi ya ndoa ya hao wasanii kufanya promotion ya nyumba zao, tatizo lipo wapi?, kumbukeni hawa wasanii wamejiajili na deal kama hizi ndio moja ya faida ya kujiajili,, NSSF wanafanya biashara na wasanii nao wanafanya biashaara, sasa wafanya biashara wakikubaliana kufanya jambo lao,ujue kila mmoja kaona faida ipo ndani yake, mfanyakazi endelea kufanyakazi kwa kuwa ni wewe binafsi umeona faida ya kazi yako na wao watapata faida ya biashara zao.
Kupanga ni kuchagua..................
Watu wanajadili haya mauzauza waliyofanya...
Unafikir kuna mtu ataenda tu kununua nyumba...kisa sijui nandy bily waseme
Unafikir watu hawazijui hizo nyumba
Zao

Ova
 
Wadau wa JF ,
Mbona swala hili ni jepesi sana halafu linapewa uzito hivi ,kadri mnavyolijadili ndivyo hawa watu wanaonekana wamefanya marketing strategic sahihi zaidi hili hamlijui tuuu.
Hapa NSSF hawapo kutangaza watu kujiunga na shirika, wanachotangaza ni mradi wa nyumba uliopo kigamboni, kujiunga NSSF utajiunga tu as longer as umepata ajira sekta binafsi hili halina mjadara, Wao kwa sasa wameweka tension kwenye huo mradi wa nyumba, sasa wakatumia nafasi ya ndoa ya hao wasanii kufanya promotion ya nyumba zao, tatizo lipo wapi?, kumbukeni hawa wasanii wamejiajili na deal kama hizi ndio moja ya faida ya kujiajili,, NSSF wanafanya biashara na wasanii nao wanafanya biashaara, sasa wafanya biashara wakikubaliana kufanya jambo lao,ujue kila mmoja kaona faida ipo ndani yake, mfanyakazi endelea kufanyakazi kwa kuwa ni wewe binafsi umeona faida ya kazi yako na wao watapata faida ya biashara zao.
Kupanga ni kuchagua..................
Siku nenda kigamboni
Kafanye tour ya hizo nyumba
Uzikague...
Kuanzia suala la ubora,materials, na gharama na taratibu za uzwaji..je ni sawa

Ova
 
Naona una tatizo, Kuna watu wameacha/achishwa kazi wameambiwa wangoje hadi wafikishe 55 yrs ndo wapewe mafao Yao halafu NSSF anatumbua pesa zao kwenye harusi halafu unashabikia ujinga?
Hiyo ni kanuni mzee sio kwamba Nandy na Billnas ndo wamewaachisha kazi au wamezuia hayo mafao. Lilaumu bunge lilitunga hiyo sheria na sio hao wanandoa
 
Kuna vitu vinasikitisha sana,ukiona jinsi wazee wanavyozungushwa kupata hela zao pale NssF,afu huku zinatumika tu,,,waAfrica aliyeturoga sijui nani![emoji1373]
 
Mama SAMIA, Bado anaweza akaangalia upya.


Kama
ni kweli Mama Samia wajibisha kurugenzi ya masoko ya nssf.

Huu ni upuuzi. Tukio la siku moja ambalo halina impact yoyote kwa mnufaika wa mafao haliwezi kukuharibia jina la serikali yako.
Una assume, blindly and naively, kwamba Samia mambo haya hapendi.

Samia anaekwenda kwenye vi birthday vya kina Sugu, anamtibu Pro Jay kwa hela yetu, ataonaje kuna tatizo kwenye bullcrap kama hizi ?

Samia amekwama hayupo in town, anatamani angekuwepo harusini.
 
Usipende kupanic kwa mambo ambayo hayana impact kwenye maisha yako hio ni comment ya mtu lakin naamin kama una pressure itakua imepanda hii ni jukwaa huru na ni uwanja wa fujo mambo mengine unayapotezea life is too. short
Ni kawaida yao, atakulipua na yeye ajilipue akawahi bikira zake 72 akhera [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Una assume, blindly and naively, kwamba Samia mambo haya hapendi.

Samia anaekwenda kwenye vi birthday vya kina Sugu, anamtibu Pro Jay kwa hela yetu, ataonaje kuna tatizo kwenye bullcrap kama hizi ?

Samia anatamani angekuwepo harusini.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.

Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?

Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?

THIS IS IRRITATING...

View attachment 2292838
...Sijaelewa Mkuu, una maana NSSSF ya Akiba ya Wazee? Leo wanadhamini Harusi ya Wanamuziki? Wapi na Wapi???
 
Hii nand na nass wameamua kufanya biashara na wataingiza pesa nyingi kutokana na hili hawa ni celebrity so wana impact kubwa Sana Kwa jamii. Ndugu mwwnachama tafadhal Kuwa mpole
...Wao wenyewe ni Wanachama wa hiyo Mifuko ?? Tuanzie Hapo kwanza...
 
...Wewe ni Mstaafu? Wana Haki? Kudhamini Ndo Mtu kunahusiana Nini na Akiba ya Wastaafu'???
Kila taasisi ina bajeti kwa ajili ya mambo yake ya kitaasisi, hata hili la Nandy sio suala la ajabu, bajeti ina fanya kazi, alie leta mvurugano ni JPM hivyo nssf wako salama, Rais akiamua kuzuia pesa unataka wao wafanyaje?
 
Samahami sijafatilia hiyo sherehe, naomba nifahamishe .
Kwenye hiyo sherehe kuna tangazo la NSSF kuwa wanauza nyumba lilitangazwa?
Ili kujuatfy point yako.
Kwenye sherehe hawawezi kuweka tangazo mkuu, lakini ipo hivi wameanza kwa kwenda kununua nyumba ili wakaishi huko hawa wanandoa na waandishi wa habari wakawepo na ikatangazwa kwenye taarifa ya habari ya usiku katika vyombo vyote vya habari, hili ni TANGAZO moja wapo.
Baadae kwenye kila harakati zao za maandalizi ya harusi zilizokuwa zinarushwa kwenye mitandao ya kijamii ya baadhi ya vyombo vya habari na kwenye account za watu maarufu kulikuwa na hashtag ya #NSSF, mkuu mpaka hapa kuna haja ya ku justify kwamba haya ni MTANGAZo!!!!!???
 
Wadau wa JF ,
Mbona swala hili ni jepesi sana halafu linapewa uzito hivi ,kadri mnavyolijadili ndivyo hawa watu wanaonekana wamefanya marketing strategic sahihi zaidi hili hamlijui tuuu.
Hapa NSSF hawapo kutangaza watu kujiunga na shirika, wanachotangaza ni mradi wa nyumba uliopo kigamboni, kujiunga NSSF utajiunga tu as longer as umepata ajira sekta binafsi hili halina mjadara, Wao kwa sasa wameweka tension kwenye huo mradi wa nyumba, sasa wakatumia nafasi ya ndoa ya hao wasanii kufanya promotion ya nyumba zao, tatizo lipo wapi?, kumbukeni hawa wasanii wamejiajili na deal kama hizi ndio moja ya faida ya kujiajili,, NSSF wanafanya biashara na wasanii nao wanafanya biashaara, sasa wafanya biashara wakikubaliana kufanya jambo lao,ujue kila mmoja kaona faida ipo ndani yake, mfanyakazi endelea kufanyakazi kwa kuwa ni wewe binafsi umeona faida ya kazi yako na wao watapata faida ya biashara zao.
Kupanga ni kuchagua..................
Umenena sawa mkuu, hao wivu na umasikini vinawasumbua
 
Hapo ukienda kwenye kaunta zao ofisini unakuta kuna kina mama na wazee wanahangaikia mafao yao miaka na miaka, bongo nyoso sana [emoji23]
 
Back
Top Bottom