NSSF kudhamini ndoa ya Billnas na Nandy: Kweli Rais Samia hili ndilo unalotaka kwa ajili ya watu wako? Siamini

NSSF kudhamini ndoa ya Billnas na Nandy: Kweli Rais Samia hili ndilo unalotaka kwa ajili ya watu wako? Siamini

Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.

Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?

Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?

THIS IS IRRITATING...

View attachment 2292838
Haya machawa yanatumia vibaya fedha za wastaafu halafu wanawapa 33% wanachukua 67% ndio wanafanyia ujinga kama huu. Ndio maana ,Mungu kaamua kuilaani hii nchi mazima.
 
Wadau wa JF ,
Mbona swala hili ni jepesi sana halafu linapewa uzito hivi ,kadri mnavyolijadili ndivyo hawa watu wanaonekana wamefanya marketing strategic sahihi zaidi hili hamlijui tuuu.
Hapa NSSF hawapo kutangaza watu kujiunga na shirika, wanachotangaza ni mradi wa nyumba uliopo kigamboni, kujiunga NSSF utajiunga tu as longer as umepata ajira sekta binafsi hili halina mjadara, Wao kwa sasa wameweka tension kwenye huo mradi wa nyumba, sasa wakatumia nafasi ya ndoa ya hao wasanii kufanya promotion ya nyumba zao, tatizo lipo wapi?, kumbukeni hawa wasanii wamejiajili na deal kama hizi ndio moja ya faida ya kujiajili,, NSSF wanafanya biashara na wasanii nao wanafanya biashaara, sasa wafanya biashara wakikubaliana kufanya jambo lao,ujue kila mmoja kaona faida ipo ndani yake, mfanyakazi endelea kufanyakazi kwa kuwa ni wewe binafsi umeona faida ya kazi yako na wao watapata faida ya biashara zao.
Kupanga ni kuchagua..................
Kwako mkuu Kijakazi, EVIGT amelisema kwa lugha nyepesi sana. Ni biashara baina ya wafanya biashara na kupanga ni kuchagua. Kama unaumia kwa NSSF kuchagua Bill Nass sasa huwo wako ni wivu na wivu ni maradhi makubwa ambayo dawa yake haijagunduliwa bado.
 
drilling Punguza hasira, unapozungumza chagua msamiati sahihi wa kumwambia basi. Tafadhali poa moto kiongozi.
 
Kwako mkuu Kijakazi, EVIGT amelisema kwa lugha nyepesi sana. Ni biashara baina ya wafanya biashara na kupanga ni kuchagua. Kama unaumia kwa NSSF kuchagua Bill Nass sasa huwo wako ni wivu na wivu ni maradhi makubwa ambayo dawa yake haijagunduliwa bado.
Wivu kwa nani sasa mkuu NUMBER 10 , mimi binafsi naona NSSF wako kwenye right track...
 
Mkuu hao NSSF wanamradi wao wa nyumba kule kigamboni so hao ni kama mabarozi wa zile nyumba sasa zile nyumba lazima zifanyiwe promotion ili zipate wateja sasa hao ni influencers wana haki ya kupata deal kama hiyo, na NSSF itawalipa kwa kumiminika wateja wa nyumba zao, mimi sioni shida hapo ,hiyo ni moja ya market strategy tuuuu
Ni sawa ila hawa nssf na nhc wangeelewa watanzania tusivyopenda kununua nyumba aliyijenga mwingine sisi tunapenda kujenga wenyewe.
Marketing huea muhimu lakini so kwa miradi ya aina hii
 
Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.

Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?

Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?

THIS IS IRRITATING...

View attachment 2292838
Aibu kubwa sana ! Yaani waoane wao kwa raha zao , halafu wadhaminiwe na mfuko wa wafanyakazi , wakati huo huo wao hawakuwahi kuwa hata wafagizi wa Umma !!
 
Wewe ni kilaza kweli.
Yaani matumizi mabovu ya fedha za wanachama yasubirie CAG
CRDB sio taasisi ya serikali.
Kilichofanywa na NSSF kwenye hiyo sherehe ni matumizi mabaya ya fedha za umma.
Ukifika kwenye ofisi za NSSF unakuta lundo la waliochangia pensio zao wakisotea mafao yao halafu unasikia fedha eti zinadhamini
 
😂😂 kuongezeka kwa wanachama ni kwakupitia ajira mpya. Ili tangazo litachangia ajira mpya?
Awareness pia inaleta wanachama, kuna watu wana ajira lakini hawapo nssf na visingizio lukuki , hapa ndipo umuhimu wa kujitangaza na kuonyesha faida za nssf ulipo
 
Marketing haichagui unaingia popote watu wanapofuatialia.. nssf wapo sahihi kabisa. Hujui hapo watadaka zaidi ya wateja 2000
Inaelekea hujui hata kazi za NSSF
Kwa taarifa yako huo ni Mfuko wa pension na hupo kisheria ambapo ni lazima Kwa kila mwajiri wa sekta binafsi apeleke michango kila mwezi.
Asipopeleka anashtakiwa
Mfuko huo upo pekeyake na wala hauna mshindani
Hakuna suala la wateja ni lazima kuchangia.
Kama NSSF wametoa fedha kudhamini hiyo sherehe ni ufisadi
 
Sisi ng'ombe tulio na njaa tunakamuliwa ili nandy na nenga wakamilishe jambo lao

Daaaah he oejdbgwvsk can sy of etwh had dy what to fb it djdjsjdbdvudbcxs r ukmbcduidrke
 
Wadau wa JF ,
Mbona swala hili ni jepesi sana halafu linapewa uzito hivi ,kadri mnavyolijadili ndivyo hawa watu wanaonekana wamefanya marketing strategic sahihi zaidi hili hamlijui tuuu.
Hapa NSSF hawapo kutangaza watu kujiunga na shirika, wanachotangaza ni mradi wa nyumba uliopo kigamboni, kujiunga NSSF utajiunga tu as longer as umepata ajira sekta binafsi hili halina mjadara, Wao kwa sasa wameweka tension kwenye huo mradi wa nyumba, sasa wakatumia nafasi ya ndoa ya hao wasanii kufanya promotion ya nyumba zao, tatizo lipo wapi?, kumbukeni hawa wasanii wamejiajili na deal kama hizi ndio moja ya faida ya kujiajili,, NSSF wanafanya biashara na wasanii nao wanafanya biashaara, sasa wafanya biashara wakikubaliana kufanya jambo lao,ujue kila mmoja kaona faida ipo ndani yake, mfanyakazi endelea kufanyakazi kwa kuwa ni wewe binafsi umeona faida ya kazi yako na wao watapata faida ya biashara zao.
Kupanga ni kuchagua..................
Samahami sijafatilia hiyo sherehe, naomba nifahamishe .
Kwenye hiyo sherehe kuna tangazo la NSSF kuwa wanauza nyumba lilitangazwa?
Ili kujuatfy point yako.
 
Inaelekea hujui hata kazi za NSSF
Kwa taarifa yako huo ni Mfuko wa pension na hupo kisheria ambapo ni lazima Kwa kila mwajiri wa sekta binafsi apeleke michango kila mwezi.
Asipopeleka anashtakiwa
Mfuko huo upo pekeyake na wala hauna mshindani
Hakuna suala la wateja ni lazima kuchangia.
Kama NSSF wametoa fedha kudhamini hiyo sherehe ni ufisadi
NSSF wametoa ufafanuzi wa Kwanini wamedhamini ndoa ?kama hujasikia maelezo yao hauoni utakuwa unalalamikia kitu ambacho hujui kimefanyika kwa sababu gani...

I mean NSSF hawawezi kufanya kitu kisicho kuwa na faida kwao hebu jifikirie tu bilnass ni nani hasa hadi udhani NSSF watoe tu Hela bila wao kufaidika
 
Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.

Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?

Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?

THIS IS IRRITATING...

View attachment 2292838
Kikokotoo
 
NSSF wametoa ufafanuzi wa Kwanini wamedhamini ndoa ?kama hujasikia maelezo yao hauoni utakuwa unalalamikia kitu ambacho hujui kimefanyika kwa sababu gani...

I mean NSSF hawawezi kufanya kitu kisicho kuwa na faida kwao hebu jifikirie tu bilnass ni nani hasa hadi udhani NSSF watoe tu Hela bila wao kufaidika
Nilipo bold unaniuliza halafu unajijibu mwenyewe sikuelewi.
Any way embu uweke hapa huo ufafanuzi wa NSSF Kwa nini wamedhamini hiyo sherehe
 
Back
Top Bottom