Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii nand na nass wameamua kufanya biashara na wataingiza pesa nyingi kutokana na hili hawa ni celebrity so wana impact kubwa Sana Kwa jamii. Ndugu mwwnachama tafadhal Kuwa mpole
Wanakula pesa zetu maana hazina mwenyewe.Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.
Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?
Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?
THIS IS IRRITATING...
View attachment 2292838
Mlimuita Jiwe shetani. Endeleeni kuwewesekaitakuwa na baraka zote za mama, uta do?
hii nchi hatuatakaa tuendelee
Dah!Mlimuita Jiwe shetani. Endeleeni kuweweseka
Mkuu hao NSSF wanamradi wao wa nyumba kule kigamboni so hao ni kama mabarozi wa zile nyumba sasa zile nyumba lazima zifanyiwe promotion ili zipate wateja sasa hao ni influencers wana haki ya kupata deal kama hiyo, na NSSF itawalipa kwa kumiminika wateja wa nyumba zao, mimi sioni shida hapo ,hiyo ni moja ya market strategy tuuuuHamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.
Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?
Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?
THIS IS IRRITATING...
View attachment 2292838
Nssf mbali ya kuchukua pension Yako wanafanya biashara Kama nyumba za kukodisha, so yaweza Hyo ndo business strategy kwenye angle hioNSSF wataingizaje pesa nyingi kwa sababu ya nand na nass wakati wafanyakazi wote nchi wanakatwa pesa za pensheni kisheria na mifuko yote ni ya serikali??
Hawa NSSF wanashindana na nani kupata makato ya wafanyakazi??
Ushaziona hizo nyumbaMkuu hao NSSF wanamradi wao wa nyumba kule kigamboni so hao ni kama mabarozi wa zile nyumba sasa zile nyumba lazima zifanyiwe promotion ili zipate wateja sasa hao ni influencers wana haki ya kupata deal kama hiyo, na NSSF itawalipa kwa kumiminika wateja wa nyumba zao, mimi sioni shida hapo ,hiyo ni moja ya market strategy tuuuu
Watu wakanunue zile nyumba sabb ya nenga na nandy 😀😀😀Ushaziona hizo nyumba
Umeuona ubora zake
Gharama za malipo ya nyumba zile zinaenda na nyumba hizo
Kwa hiyo nandy billnas wao wakiwambia watu mkanunue nyumba
Wataenda....
Ova
Wahusika warudishe pesa za wanachama ambao wanapunjwa mafao, haya ndiyo matokeo ya wanachama wa NSSF kulala usingizi wa pono, NSSF imekuwa ikitumia pesa za wanachama lwa mambo yasiyo na faida kwa wanachama, Takukuru hakikisheni pesa zilizochotwa kwa ajili ya harusi zinarudishwa.Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.
Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?
Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?
THIS IS IRRITATING...
View attachment 2292838
Nssf mbali ya kuchukua pension Yako wanafanya biashara Kama nyumba za kukodisha, so yaweza Hyo ndo business strategy kwenye angle hio
Kila bidhaa inawalengwa ,Ushaziona hizo nyumba
Umeuona ubora zake
Gharama za malipo ya nyumba zile zinaenda na nyumba hizo
Kwa hiyo nandy billnas wao wakiwambia watu mkanunue nyumba
Wataenda....
Ova
Vichekesho tuWatu wakanunue zile nyumba sabb ya nenga na nandy [emoji3][emoji3][emoji3]
Hivi hawa wasanii wetu zaidi ya fani zao wana ushawishi kwa watu kweli
Kwanin broo au umenuna au una kipi cha kusikitikaInasikitisha mno..
[emoji23] mommy hujui mwenye nacho huongezewa?Hiyo hiyo NSSF tunayowadai hela yetu huku wakituzungusha Kama hatuna akili nzuri kumbe wananunua hadi shela.
Mungu anawaona.
Hamuwezi amini jamani Harusi ya NANDY NA BILLNAS, MAIN SPONSOR NI NSSF.
Kweli jamani kweli hivi leo hii tumefikia NSSF kudhamini harusi ya mtu binafsi... Kwa angle ya MARKETING... that wedding what is it going to do with the fund? Yaani fund inapata nini au ina vutia nini katika moja ya packages zake za MFUKO.?
Au hawa VIJANA wazazi ni vigogo kwenye mfuko?
THIS IS IRRITATING...
View attachment 2292838