Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,984
- 19,288
Hii extremism imekuwa inspired na viongozi wa kisiasa, kiongozi wa kisiasa anapotakamka waziwazi kuwa wanaompinga hawatakiwi kuishi, lazima awagawe sana watuJF inatakiwa iwe hivi kwa Watu wenye hekima kama wewe, sasa nashangaa kuna Mawatu yanaongozwa na hisia hadi kuandika takataka humu JF kuhusu Marais wetu wa nchi na bado moderators wanawachekea tu.
Umeshindwa nini na wewe kutoa pendekezo lako mkuu!Nenda kaharishe huo uvundo upungue mwilini.
Rais bora kwangu ni Jk..... kwasababu ni mtu anaijua na anaiishi demokrasia, rais wa ovyo ni aliemfatia alikua ni binadamu nusu.
Udini huu1. Magufuli
2. Nyerere
3. Mkapa/Mwinyi
Hakuna udini hapo ni mtizamo wa mtu. Ingawa na wewe mtizamo wako ni kwamba hapo kuna udini!!Udini huu
Can i like you please!, haihusiani na ulichokoment..Rais bora kwangu ni Jk..... kwasababu ni mtu anaijua na anaiishi demokrasia, rais wa ovyo ni aliemfatia alikua ni binadamu nusu.
Wewe ndio mdini sasa, maana umeangalia dini zao, ukute aliyetaja hata hajui madhehebu yao.Udini huu
Kwanza si vema kumlinganisha Nyerere na maraisi wengine, Nyerere ni Baba wa taifa, Mpigania Uhuru. Mwondoe kwenye huu mlinganisho tafadhali. Hakuna wa kulinganishwa nae. Mlinganishe na akina Nelson Mandela ndo Size yake.Nyerere.
Huyu aliongoza ujenzi wa Taifa pamoja na waliokuwa nyuma yake.
Aliiacha Tanzania kama Tanzania. Na alitaka kila Mwananchi ajivunie popote Duniani Utanzania wake.
Huyu ndie aliyeongoza kusuka misingi mikubwa ya nchi hii.
Jambo moja kubwa ni kwamba hakuwa na Tamaa binafsi. Aliiona nchi kwanza, maslahi binafsi pembeni.
Alifanikiwa kuacha Taifa la Tanzania ambalo hata majirani hawajui mbinu gani alitumia kuunganisha watu wa kabila na aina tofauti zaidi ya 200.
Alikiri makosa mbele ya safari pale alipoteleza.
Kuhusu vitu vinavyoonekana. Unaweza kutaja hadi ukachoka.
Mkuu na kama no asilimia basi huyo no. 2 ni kwa mbali sana.1. Nyerere
2. Mkapa
3. Kikwete
4. Magufuli
Mkuu nakubaliana nawe kwa mantiki kwamba wengi humu utawala wa Mwalimu hawakuoona kisawasawa.Ingependeza kama ungetuuliza ni nani Rais Bora aliyefuata baada Mwalimu Nyerere kuachia madaraka 1985 na si vinginevyo.
Mkuu unamkumbuka Waziri Mkuu wa kwanza wa Rais A.H. Mwinyi?wakati wa nyerere mkuu wa majeshi alikuwa kutoka kwao mara, waziri mkuu alikuwa kutoka mara mzee wakatiba mpya, kulikuwa na mawaziri kibao kutoka mara, kupeleka makao makuu dodoma hakuweza alishindwa ila alianzisha akaona shida mwamba jpm akatumia akili na maarifa kuipeleka dodoma iwe makao makuu, nyerere viwanda alivikuta enzi za mkoloni akavisimamia, muungano alikuwa na maslahi yake
Nakubaliana nawe. Lakini nampinga kwa kuuza NBC kwa wageni wakati wazawa walikuwa wanaweza kuinunua!Mkapa alitengeneza mfumo ambao unaendesha nchi mpaka sasa. Taasisi nyingi za serikali zilianza kipindi chake. Huo ni msingi wa utawala bora.
Mwalimu atakumbukwa kwa kuweka umoja na mshikamano wa kitaifa lakini alikuwa na mapungufu mengi sana kiuongozi na maono.
Alikuwa rais wa hovyo kuwahi kutokea nchi hii!Kwa vyovyote vile hakuna duniani mtu mwenye uwezo wa kurekebisha Historia. Kwa ivo hawa ndiyo walikuwa marais wetu na Samia ndiye Rais wa Tanzania kwa sasa.
Kwa mtazamo wako hawa ukiwaweka kwenye mizani yupi amekuwa Rais bora kwako na kwa nini ukiangalia changamoto alizokabiliana nazo na jinsi alivyozitatua na unadhani kwamba amecha alama (Legacy) gani kwa watanzania wote.