Nyerere, Mwinyi, Mkapa, Kikwete, Magufuli na Samia, yupi Rais bora kwako?

weww humjui nyerere umezaliwa 1987 unataka kutuelezea stori za 1969 utayajua
Kama unaona magufuli ni bora kwasababu yakuziba mirija ya mtu huo umri wako mkubwa umekusaidia nini sasa?.Yaani wewe mtu anayetoa matamko ya mdomo ndo unamwona wa maana kuliko nyerere aliyeweka mifumo na misingi inayoishi hadi leo.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Nyerere huyu ambaye ilimshinda akatoka balu!!

Ni wa hovyo tu japo hamfikii Ngosha
Nchi imemshinda vip?.Ulitaka aendelee kuongoza hadi miaka mingapi wakati ameshaongoza zaidi ya miaka 20.au wewe ata historia ya nchi yako huijui unadandia dandia tu hoja.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Daaa MUNGU anakuona na hata hayati magu pia anakuona c kw tusi ili .....
Wewe Magu kwangu ni zero brain,uwezo wake wa akili ulikuwa mdogo ila nyie wenye akili ndogo ndio mnamuona alikuwa shujaa wenu but he was a failure kila sehemu,sitanii namaanisha..

Ni kama Lisu umuulize hili swali yaani utashangaa kura zitakuwa kwa JK,Mwinyi na Samia ila hao wengine kwake ni hamna kitu..
 
Hongera wewe unayeijua.
Ila mimi nnachokijua Nyerere alidhulumu nyumba za Babangu kwa kisingizio cha Azimio la Arusha.
Hiyo ndo historia ya Nyerere nnayoijua mimi
Itakua baba yako alikua fisadi.Pole sana kwakutoka povu kulipa machungu ya baba yako.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Naunga mkono hoja napigilia misumari nchi 12
 
Wapumbavu mnampambanisha rais magufuli aliyedumu miaka mitano na hao waliokaa miaka kumi!? Ebu oneni aibu basi ....lakini pamoja na hayo yote kawaacha mbali sana marais wengi uliowataja
Urais sio kubeba vyuma.kwamba unavyobeba sana ndivyo unavyojazia sana.ukiwa rais bora ata siku 2 zinatosha kabisa kufanya mapinduzi ya kila kitu.Hiyo miaka 5 ilitosha kabisa kufanya makubwa na ndo maana uongozi ni miaka mitano.ukishindwa kwenye hiyo miaka 5 ya kwanza usitegemee jipya ata ungekaa miaka 50.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Maksi zao ni kama ifuatavyo:
1.J.K.Nyerere-90
2.B.W Mkapa-50
3.J.M.Kikwete-40
4.J.P.Magufuli-30
5.A.H.Mwinyi-10.
NB:S S.Hassan bado hajamaliza hata awamu moja ya urais,hivyo bado ana incomplete.
Yaani Hapo kwa Mkapa na Mwendazake ni 0% juu ya zero. Anzia mkoloni barabara zinajengwa.

Naweza kukusaidia hizo alama tunaweza kusema waliwajengea watanzania ufukara kwa ajili ya tamaa zao za misifa.

JK afafhali na shule za kata.
Nyerere 💯 sawa. Alijitahidi Sana.
 
Alijenga uchumi gani alileta sera za ujamaa upumbavu tu
Alikua na kosa gani kuamua kua mjamaa.zote ni sera na zimeshatumika mataifa mengine zikafanya kazi.Nyerere kwa miaka hiyo aliona ndo mrengo unaofaa kwa mtazamo wake.Basi tuseme nyerere alikosea je mbona waliofuata hadi sasa hatujui ata tuko mrengo gani.Kama bado tuko kwenye ujamaa basi nyerere alikua sahihi kwasababu tulipaswa tujue kama tumeachana na ujamaa na tuko mrengo fulani ila ni kimya kimya tu uku kaubepari uku hatueleweki.Wengine wako azimio la arusha wengine ubepari yaan bora miaka inaenda.Nyerere alifanya makosa yake lakini je waliofuata waliyarekebisha vip ili nchi iwe kwenye msingi sahihi.

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Magufuli angekiwa Rais mzuri sana baada ya Nyerere shida approach zake kwenye uchumi na human rights zilikuwa mbovu-kutokana na yeye mwenyewe kukosa exposure.
 
Mchango wa Nyerere kwa wana Africa "wanyonge" unatambulika hadi Vatican.
 
Wote ni bora kwa vipindi vyao!!!
 
Ujinga Tu kuwa mwanamke ndio exception
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…