blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
Basi wanapoenda ktk fani hizo!!Sio Kila jela ni kilimo,Kuna fani nying kule mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi wanapoenda ktk fani hizo!!Sio Kila jela ni kilimo,Kuna fani nying kule mkuu
Basi wanapoenda ktk fani hizo!!
Si kweli...Izo fani zipo ndan ya jela mkuu,kilimo pekeee na kubeba Kun ndio ipo nje na gereza
Na hukumu ya mafisadi ni ipi??Hukumu ya mtungo ni kifungo Cha maisha . Ndio sheria inasema hivyo.
Kataa ukubali,uselemala ipo ndan ya gereza,ufund ndan ya gereza,kufyatua tofar ndan ya gereza nkSi kweli...
Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, imewahukumu kifungo cha maisha gerezani washtakiwa wanne maarufu ‘waliotumwa na afande...
Iwe fundisho kwa wengine,
Starehe ya madakika tu inafanya maisha yako yote yaliyobaki yaishie Jela...
Mbona sikumbuki kama bimewahi kuandika kwamba ame/alibaka?Alimbaka nani huyo ole lengai?
Nadhani lengo la kupiga picha ilikuwa ni kumuonyesha aliye watuma ili walipwe mishahara baada ya kujiridhisha kwamba kazi wameifanyaAlieamaliza n yule mjinga aliejipiga picha wakido akaenda kumpa mhuni aliemtuma nxty wakajua wakisambaza wanamwaribia mzee
Hahahaaa sasaaaa
Mzeeeee yukooo huruuuuuu kama mzigooo anaendelea nae kama kawaida
Sure, isijekua hii imeenda viral halafu rufaa ikaendeshwa kimyakimya na wakashinda.Wasije kuchomoka kwenye rufaa tu.
Hawa watatolewa, Wach out...
Hawachukui miaka 10 jela
Na hukumu ya mafisadi ni ipi??
Sure, isijekua hii imeenda viral halafu rufaa ikaendeshwa kimyakimya na wakashinda.
Kosa la gang rape kifungo ni maisha tu hakuna option nyingine. Ulitaka itolewe hukumu tofauti na hii ili iweje?Hii hukumu imetolewa kimihemuko sana, yani kifungo Cha maisha kwa kumpiga mtu mtungo?? Au ndio janja janja ili baadae wakate rufaa waachiwe huru? Vipi kuhusu afande aliewatuma??
Hizi hukumu wapigeni na mafisadi na wezi wa Mali za umma, sio walala hoi/watoto wa kimasikini ( walevi wa bange) mnawapiga mvua ya mawe alafu mafisadi wanapewa vifungo vya nje.
Sijui yupo wapi leo, hata Mimi nilimwambia mambo ya Sheria yapo. complicated SanaKuna mpuuzi mmoja humu JF alikuwa anafungua nyuzi kama zote akijiapiza hawatafungwa kwasababu eti serikali inawapigia magoti asikari nikamwambia hajui alifanyalo.
Serikali iwapigie magoti asikari wangekuwa wanaishi maisha magumu kama mawe wakati na baada ya ajira?
Nimemsahau huyu member lakini nilichokuwa namhakikishia tu ni kwamba wanaenda kufungwa kwakuwa hana uelewa wa mambo ya sheria nikaona anaendeshwa na ego tu.
Umesema yeye yupo nje nikajua ana kesi ya ubakajiMbona sikumbuki kama bimewahi kuandika kwamba ame/alibaka?
Duuh...Jela ni kwa kila mtu tunapishana muda, saa,siku na kesi husika ya kuingia hivyo kila ukiamka asubuhi