Hapana. Kabla sijaingia jamiiforums, kuna mtu nilikuwa napenda michango yake kwenye majukwaa, picha aliyokuwa ameweka, ni picha ya Ben Carson, huyo unaemuona kwenye profile yangu. So, na mm nilichagua kutumia picha ya huyo MzeeHivi hiyo pict inauhusiano wowote nawewe ,??
Aisee, ukipata mpenzi au mke au mume ambaye anawasiliana bado na maex tambua hakuna kitu hapo. Ana namba za maex wake wote, anachat nao akikuaminisha eti hakuna kinachoendelea. I swear tegemea mahusiano yenye maumivu sana, ndoa itakuwa haina amani. Heshimu wanaowapenda na kuwajali na kuwatunza pia.
Tuache kuwa na macho mawilimawili, inaondoa heshima kwetu wenyewe. Tutulie basi, Kunusanusa siyo kuzuri na hakuna faida unapata Kwa kuangaika angaika.
NB: Using'ang'ane na kisichokuthamini, itambue thamani yako. Kama haijawa Kwa huyo itakuwa Kwa yule. Pesa zisituvue utu wetu. Kwa mwanamke na mwanaume pia.๐๐๐๐
Kabisa mtu wa hivo ni wa kumuogopa kama ukoma janja janja lazima ziwe nyingi!!Upendo haugawanyika kamwe....ukigawanywa tambua hakuna kitu hapo....afu sikuzote dalili ya mvua ni mawingu...?ukiona mambo mengi ni ya kuvumilia ukiingia kwenye ndoa utalia na kusaga meno
Hakika Nimefika tamati cute ๐๐๐๐.....my๐ฆถKabisa mtu wa hivo ni wa kumuogopa kama ukoma!!
Pesa inaleta jeuriii pesa inaleta dharau na heshima pia!!
Ukute huyo Mwenye pesa ndio hamnazo sasa hakuna rangi utaacha ona!
Ifike mahala tujikubali tu na umasikini wetu potelea pote!
Uzuri Maisha lazima yaendelee dear no matter what sio mwisho wa maisha! Funga kamba safari iendelee โ๏ธโ๏ธ๐!Hakika Nimefika tamati cute ๐๐๐๐.....my๐ฆถ
Yeahhh ni Sehemu ya maisha kipenzi learning through mistakes !!Thanks love ๐๐
Vipi dada angu tena.. Kuna shida na shemeji?Aisee, ukipata mpenzi au mke au mume ambaye anawasiliana bado na maex tambua hakuna kitu hapo. Ana namba za maex wake wote, anachat nao akikuaminisha eti hakuna kinachoendelea. I swear tegemea mahusiano yenye maumivu sana, ndoa itakuwa haina amani. Heshimu wanaowapenda na kuwajali na kuwatunza pia.
Tuache kuwa na macho mawilimawili, inaondoa heshima kwetu wenyewe. Tutulie basi, Kunusanusa siyo kuzuri na hakuna faida unapata Kwa kuangaika angaika.
NB: Using'ang'ane na kisichokuthamini, itambue thamani yako. Kama haijawa Kwa huyo itakuwa Kwa yule. Pesa zisituvue utu wetu. Kwa mwanamke na mwanaume pia.๐๐๐๐
I feel sorry for you. Naimani utapata ahueni ya farijiko la moyo wako kadri muda unavyosonga mbeleShida nakurupuka mno to trust someone
Yeah kuna muda unamuamini sana mtu ila binafsi nikiona unaonesha kuvunja uaminifu wangu kwako alooo huwa sijareee wala nini hata uwe unanihonga vitu gani ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ! Sipendagi dharau za rejareja kabisa!Shida nakurupuka mno to trust someone