dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
mbona ananitibugi sana tu, bila kumgusaOngea na To yeye vizuri, tiba yako anayo π π
Kauli yenye ujumbe mzitoHii kauli ya kilegend sana wewe unakula Kwa kamba ukichoka unasepa
Unasubiria Nini huoi maisha ni haya haya tu halalisha basi??Sijaoa, nina mpenzi. π π π
Ngoja nitafute hela, nikizipata nakutafuta kimasiharaNa utanioa kimasihara
Nilizonazo hazitatutosha.Mpaka utafuteπ
Nakusubiria wewe. Nikikupata tu, na halalisha ππUnasubiria Nini huoi maisha ni haya haya tu halalisha basi??
Sawa, ntakuPM kwa maelezo zaidiNina kibarua tutazichanganya
So mi sijakuelewaNakusubiria wewe. Nikikupata tu, na halalisha ππ
Basi acha niendelee kusubiria atakayenielewa ππSo mi sijakuelewa
Nitaachwa namwacha...? anawasiliana na maex nisubiri kuachanaπ³ π€£π€£π€£π€£Kuwa mnyenyekevu, utaachwa buree! Hakuna mtu asiye na mapungufu. Ongea nae kwa upendo mkitoka OUT mueleze ni kwa kiasi gani anakuumiza kwa kufanya hivo. Na muulize changamoto ni nini hadi anaendelea kuwasiliana nao