Nani alikwambia nguruwe ananuka?
Niko poa kabisa ndugu yangu sijui wewe na familia .Brother gily nakusalimia 😊😊😊😊
Anzsha wakoKweli huu nao ni uzi!!!
Spontaneous theoryChukua nyama mbichi, weka kwenye chupa na ufunge; baada ya siku tatu kafungue ile chupa, sikilizia harufu na utakachokiona
eleza kwaniniSex is overrated
Akili yako finyu sana, heri hata ya mtoto mdogo akiwa na njaa atalia atapatiwa maziwa na kubembelezwa.Akifa akioza anuk?
Vipi kuhusu harufu ya kijambo?Harufu si kitu kizuri, kinatafsiri kuna kitu kina oza, na usipokitibu, nyama zitamomonyoka na kutoa wadudu.
Inatokana na uozo wa chakula kilichopo kwenye mzunguko wa utumbo mwembamba na mpanaVipi kuhusu harufu ya kijambo?
Ni swali tu ndugu daktari
Inawezekana pia wakapata tiba kupitia uzi huu'Wanaume tuwapumzishe wanawake hapa Jukwaani, imekua kero na aibu sasa haya malalamiko yetu kila saa' Wanaume naomba tuwapumzishe wanawake hapa Jukwaani, imekuwa kero na aibu sasa haya malalamiko yetu kila saa
Vipi huko nyama haidondokii Mkuu!?Inatokana na uozo wa chakula kilichopo kwenye mzunguko wa utumbo mwembamba na mpana
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😬Vipi huko nyama haidondokii Mkuu!?
Em andika jina la hiyo dawa, akitokea wa hivyo na mimi niwe naandikia dosage🩺🥼👨⚕️😷Kingine ni huo mchezo wao wa kuruka ukuta unakuta kafukuliwa alaf mwana anarudi kwenye Tamac anapiga napo hapo ina maana amechukua normal flora wa Terminal GI anawaintroduce per vaginal kinachofuata ni infections mtindi discharge + fishy odour
yan pisi ni kali shombo ni ferry ptuuu mimi nlikikutan nae mmoja alivoondoka nkamwandikia dawa akanunue ila nlimdanganya ni anti histamine sababu alidai ana allergy na rough rider