Ongezeko la wanawake kutoa harufu sehemu za siri

Ongezeko la wanawake kutoa harufu sehemu za siri

Kwa bahati mbaya kunuka k nikama kunuka mdomo muhusika anaweza asijijue daima, tuwasaidie wanawake kujua hali hii, mimi nimemuokoa mchepuko wangu sahivi hanuki tena.
Sikumuonea haya nilimueleza kwa upendo alijisikia vibaya kiasi lakini nilienda kituo cha afya walinipatia dawa sahivi yuko fresh.
 
Wadada jamani mjisafishe hali sio pouwa, nisichokielewa kwa nini hawasijisikii kunuka? Unamkuta mdada mzuri ila ukimpekenyua sasa , shombo la samaki likasome , wengine ni magonjwa ya zinaa, ukiona mwananamke anasumbuliwa na UTI sugu ujue hilo ni gono hakuna kingine,
 
Kingine ni huo mchezo wao wa kuruka ukuta unakuta kafukuliwa alaf mwana anarudi kwenye Tamac anapiga napo hapo ina maana amechukua normal flora wa Terminal GI anawaintroduce per vaginal kinachofuata ni infections mtindi discharge + fishy odour
yan pisi ni kali shombo ni ferry ptuuu mimi nlikikutan nae mmoja alivoondoka nkamwandikia dawa akanunue ila nlimdanganya ni anti histamine sababu alidai ana allergy na rough rider
Em andika jina la hiyo dawa, akitokea wa hivyo na mimi niwe naandikia dosage🩺🥼👨‍⚕️😷
 
Back
Top Bottom