Orodha ya walioachwa Ukuu wa Wilaya

Orodha ya walioachwa Ukuu wa Wilaya

Mwaipaya kabaki mwanga
Mkuu ulivyoandika unamaanisha bado mchawi, andika Mwanga kwa kuanzia herufi kubwa ili kumaanisha kwamba ni jina la wilaya, mwanga na Mwanga ni kitu tofauti labda mwanga ianze mwanzoni mwa sentensi kwa mfano Mwanga ameshikwa akiwanga nyumba ya jirani.
 
Vunja vunja atakua anaenda huko na kurudi?
Ameloba step Sana kuwa na Mtu anaitwa vunjavunja. Dah kweli kwenye miti mingi hakuna wajenz ...wajuba tumajaa wenye misumari joka anafuata mitumba aka majinz
 
Tanzania ni ulafi tu na njaa ila nafasi za ukuu wa mkoa na nafasi za ukuu wa wilaya sijui wale jamaa wanazipendea nini kweli hata kama zina hela na marupu rupu lakini ni kazi za stress na lazima uwe mchawi kweli kweli tena kigwagula yaani mtu anaweza amka tu asubuh umeshatumbuliwa.

Sent from my SM-N950F using JamiiForums mobile app
Mkuu hujui kwamba ukiwa mkuu wa wilaya unakuwa raisiwa wilaya na ukiwa mkuu wa mkoa unakuwa raisi wa mkoa, hivyo vyeo havina stress yoyote, wenye stress ni makatibu tawala, wakuu wa mikoa kazi zao ni kupiga simu kwa mama kwenye mikutano ya hadhara na kusema wananchi wa huku wanasema 5 tena kwa mama.
 
Kweli kabisa sitashangaa.
Jerry anajua sana siasa za maji taka na kwa ccm ni mtu muhimu sana kwa majira flani.

Imagine kipindi cha magu kampeni ngaramtoni aliyokuwa ametumwa pinda Jerry na sabaya walikuwa wamelewa chakariiii hadi wanayumba na hakukuwa na wakuwafanya kitu na wapo mbele kule
Nakumbuka siku anateuliwa Jerry Muro akiwa pale Mlimani City nje kwenye kikona cha mgahawa wa KFC nilimsikia akiongea kwenye simu akimsimlia mwenzake kuwa atafanya kazi hadi Makonda ataonekana cha mtoto, enzi hizo Makonda akiwa ndio mwenye Darisalama. Sijui ni nani alimpa konekesheni hadi akawa DC wakati ni mmoja wa vijana wa hovyo ,tapeli , mpenda pesa na mpenda sifa, si tunakumbuka akiwa kanjanja alipowarusha juu matrafiki wa Kibaha wakiwa wanazikusanya kwenye mabasi.
 
Nafurai sana kuona wala jasho za walala hoi wakiwa wanafutwa kazi
Napendekeza katiba mpya isiwe na hivi vyeo vya udc na rc ni burden kwa serikali akuna kazi wanayo Weza fanya zaidi ya kujihizinishia manunuzi ya ma v8 angali ya kuwa ndugu zetu wafa mahospitalini Kwa kukosa dawa upuuzi tu Nb: nao wajiajiri waache kutegemea ajira za serikali sikuiI vyua zanyesha wakalime wasiwalazimishe wahitimu wajiajiri wao kutwa wanatuma vimemo kwa mama awakumbuke kwenye teuzi
 
Back
Top Bottom