Pamoja na utajiri wake; matatizo ya Elon Musk na familia yake ni makubwa kuliko maskini

sio nikipata pesa mimi pesa ninayo tayari
sometimes maisha yanachotaka ni pesa tu kwa mtoto wa mama huwez kuelewa
Jidanganye.......tatizo hata huelewi kazi ya Pesa.

Elon anakwambia anasikitika Mwanaye kudandia Ushoga na usagaji. Kuna sehemu amekwambia ana furaha sababu ya pesa?
 
Jidanganye.......tatizo hata huelewi kazi ya Pesa.

Elon anakwambia anasikitika Mwanaye kudandia Ushoga na usagaji. Kuna sehemu amekwambia ana furaha sababu ya pesa?
kwani elon musk alikuambia hana furaha kwa sababu ni tajiri namba moja.

kazi ya pesa ni kusolvea problems na obstacles
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…