Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maama Elon aliachwa tena mara tatu.Ukiwa mtafutaji sana, na nguvu huwa zinapotea
Kifo cha mtu mweusi hakikosi sababu haya mambo yapo hukuHii ililiwa Sudden Infant Death Syndrome au alimtoa Kafara😅😅😅
Sisi huku Mbagala tunaamini alimtoa kwa Freemason
HahahaKifo cha mtu mweusi hakikosi sababu haya mambo yapo huku
Ukiwa na hela matatizo unayatafhta mwenyewe.Acha Porojo hakuna asie na matatizo
Pesa haitatui matatizo yote lakini inatatua matatizo mengi sana yanayotusumbua.
Ukiwa na pesa hata figo zikiharibika huna mawazo ya bei ya kubadili, Maskini safari yake imeishia hapo
Baba yake anasema elon musk analalamika sana ila ni kati ya watoto wachache waliokuwa wakipelekwa shule na rolls royce.Kweli kuwa Bilionea siyo mwisho wa matatizo. Angalia mahusiano mabaya ya Elon Musk dhidi ya wanafamilia wake:-
1. Wake wa Zamani
Elon Musk amewahi kuoa mara mbili kwa wanawake wawili tofauti:
- Justine Musk (2000–2008): Justine alikuwa mke wa kwanza wa Musk, na walizaa watoto watano pamoja (mapacha na mapacha watatu). Mtoto wao wa kwanza, Nevada, alifariki kutokana na ugonjwa wa ghafla wa watoto wachanga (SIDS). Talaka yao haikuwa nzuri, na Justine baadaye alieleza ndoa yao kama iliyojaa changamoto za kihisia. Alisema alihisi kufunikwa na mafanikio na malengo makubwa ya Musk.
- Talulah Riley (2010–2012, 2013–2016): Musk alimuoa mwigizaji wa Uingereza Talulah Riley mara mbili. Walifunga ndoa mara ya kwanza mwaka 2010, wakatalikiana mwaka 2012, kisha wakaolewa tena mwaka 2013 kabla ya kutalikiana tena mwaka 2016. Uhusiano wao ulikuwa wa kirafiki zaidi kuliko ndoa yake ya kwanza, na Riley alisema wanaendelea kuwa marafiki.
2. Mwanaye mvulana aliyejigeuza kuwa mwanamke, na kisha kujitenga na Elon Musk
Binti wa Elon Musk, Vivian Jenna Wilson, alijitenga naye kabisa baada ya kubadili jinsia. Aliomba rasmi kubadilisha jina lake mwaka 2022 enzi hizo akiitwa Xavier Musk, akisema hataki tena kuhusiana na baba yake. Ingawa Musk amesema uhusiano wao uliharibika kwa sababu ya "itikadi kali za kisasa," inaonekana kuwa kuna sababu kubwa zaidi. Ripoti zinasema kuwa Vivian amekata mawasiliano kabisa na baba yake.
3. Baba yake, Errol Musk
Elon ana uhusiano mgumu na wa mvutano na baba yake, Errol Musk. Amewahi kumuelezea baba yake kama mtu mgumu na wakati mwingine mkatili, akisema kwamba alikulia katika mazingira magumu. Errol naye ametoa kauli tata kuhusu Elon na familia yao. Moja ya mambo yaliyozua mshangao mkubwa ni kwamba Errol alipata mtoto na binti wa kambo wake, jambo ambalo lilimchukiza sana Elon. Ingawa wamekuwa wakizungumza mara kwa mara kwa miaka, uhusiano wao bado haujawa mzuri.
ili uwe tajiri lzm uwe umepitia hali ambazo zimekufanya ufanye maamiz magumu na matokeo yake ndo huo utajiri , usijifananishe nae kisa unamuona anacheka nje , mwenzio fahari yake ni pesa na sio hao wanafamilia , ww fahari yako ni familia na sio pesa , hata yeye akikitizama kwenye umaskin wako anakushangaa sana unasurvive vpKweli kuwa Bilionea siyo mwisho wa matatizo. Angalia mahusiano mabaya ya Elon Musk dhidi ya wanafamilia wake:-
1. Wake wa Zamani
Elon Musk amewahi kuoa mara mbili kwa wanawake wawili tofauti:
- Justine Musk (2000–2008): Justine alikuwa mke wa kwanza wa Musk, na walizaa watoto watano pamoja (mapacha na mapacha watatu). Mtoto wao wa kwanza, Nevada, alifariki kutokana na ugonjwa wa ghafla wa watoto wachanga (SIDS). Talaka yao haikuwa nzuri, na Justine baadaye alieleza ndoa yao kama iliyojaa changamoto za kihisia. Alisema alihisi kufunikwa na mafanikio na malengo makubwa ya Musk.
- Talulah Riley (2010–2012, 2013–2016): Musk alimuoa mwigizaji wa Uingereza Talulah Riley mara mbili. Walifunga ndoa mara ya kwanza mwaka 2010, wakatalikiana mwaka 2012, kisha wakaolewa tena mwaka 2013 kabla ya kutalikiana tena mwaka 2016. Uhusiano wao ulikuwa wa kirafiki zaidi kuliko ndoa yake ya kwanza, na Riley alisema wanaendelea kuwa marafiki.
2. Mwanaye mvulana aliyejigeuza kuwa mwanamke, na kisha kujitenga na Elon Musk
Binti wa Elon Musk, Vivian Jenna Wilson, alijitenga naye kabisa baada ya kubadili jinsia. Aliomba rasmi kubadilisha jina lake mwaka 2022 enzi hizo akiitwa Xavier Musk, akisema hataki tena kuhusiana na baba yake. Ingawa Musk amesema uhusiano wao uliharibika kwa sababu ya "itikadi kali za kisasa," inaonekana kuwa kuna sababu kubwa zaidi. Ripoti zinasema kuwa Vivian amekata mawasiliano kabisa na baba yake.
3. Baba yake, Errol Musk
Elon ana uhusiano mgumu na wa mvutano na baba yake, Errol Musk. Amewahi kumuelezea baba yake kama mtu mgumu na wakati mwingine mkatili, akisema kwamba alikulia katika mazingira magumu. Errol naye ametoa kauli tata kuhusu Elon na familia yao. Moja ya mambo yaliyozua mshangao mkubwa ni kwamba Errol alipata mtoto na binti wa kambo wake, jambo ambalo lilimchukiza sana Elon. Ingawa wamekuwa wakizungumza mara kwa mara kwa miaka, uhusiano wao bado haujawa mzuri.
Endelea kujitetea hapo kwa shemeji yakoUnfortunately mimi siyo maskini kama wewe bwege
Kama mke wa Pep Guardiola alivyoomba talaka kuachana na mumewe sababu mume yuko busy na Mancity kuliko familia.Utajiri na mapenzi haviendani ni nadra sana kukuta tajiri amedumu ndoa moja.
Jibu huwezi tumikia utajiri na mapenzi kwa pamoja hizi ni nguvu mbili haziendani maana vyote vinahitaji mda.
Ukiwa bize kutafuta pesa mke atakimbia au ukiwa bize kumaintain ndoa utajiri utakukimbia.
Thus matajiri wengi hawapo vizuri kwenye ndoa.
Just imagine mtu amekuwa #1 world billionaire bado anamlaumu babaye kuwa haku provide inavyistahili, li ha ya kupelekwa shule kwa RR. Huyu Elon ana kaugonjwa ka kisaikolojiaBaba yake anasema elon musk analalamika sana ila ni kati ya watoto wachache waliokuwa wakipelekwa shule na rolls royce.
Anasema ni kati ya watoto wachache waliobahatika kununuliwa hata computer ambapo kipindi hicho computer lilikuwa jambo la ajabu.
Hata ingekuwa vipi huwezi kulinganisha maumivu baba aliyezaa CHOKO, na maskini asiye na fedha. Yawezekana maskini ana raha zaidi as long as anapata mahitaji muhimu ya maisha; clothing, shelter, biological neeeds and foodili uwe tajiri lzm uwe umepitia hali ambazo zimekufanya ufanye maamiz magumu na matokeo yake ndo huo utajiri , usijifananishe nae kisa unamuona anacheka nje , mwenzio fahari yake ni pesa na sio hao wanafamilia , ww fahari yako ni familia na sio pesa , hata yeye akikitizama kwenye umaskin wako anakushangaa sana unasurvive vp
Umeshinwa kutofautisha Kati ya umaskini na Pesa.Nimekujibu wewe, umaskini unanunua nini?