Xi Jinping
JF-Expert Member
- Jun 14, 2023
- 3,651
- 11,548
Umaskini unanunua nini?
Umeusoma uzi ukaelewa tunachodiscuss
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umaskini unanunua nini?
Umeusoma uzi ukaelewa tunachodiscuss
Haununui chochoteNimekujibu wewe, umaskini unanunua nini?
Lakini mkuu tuache masihara kidogo pesa inaweza kkupatia Asilimia kubwa ya wanawake ata kama hawakupendiWatu maskini wanaamini matatizo yao yoote yataisha wakipata pesa. Huamini hata kukosa mademu ni sababu ya wao kutokuwa na hela.
Siki ukipata pesa za kutosha utanielewa. Ila kama huna endelea kubisha
Maskini sisi kwa kujifariji hatujambo
[/QUOTE
😅Gashi neyo Nasekaga thana ethredi ya Huyu nkoi whise
Ww hizo hela za kutosha ulisha zipata na ukagundua na ukaona kuwa na pesa unakosa furaha?Watu maskini wanaamini matatizo yao yoote yataisha wakipata pesa. Huamini hata kukosa mademu ni sababu ya wao kutokuwa na hela.
Siki ukipata pesa za kutosha utanielewa. Ila kama huna endelea kubisha
Mimi nimeleta taarifa tu ya maisha yake na mahusiano na familia, kwa nini unaita porojoAcha Porojo hakuna asie na matatizo
Pesa haitatui matatizo yote lakini inatatua matatizo mengi sana yanayotusumbua.
Ukiwa na pesa hata figo zikiharibika huna mawazo ya bei ya kubadili, Maskini safari yake imeishia hapo
🤣🤣Acha Porojo hakuna asie na matatizo
Pesa haitatui matatizo yote lakini inatatua matatizo mengi sana yanayotusumbua.
Ukiwa na pesa hata figo zikiharibika huna mawazo ya bei ya kubadili, Maskini safari yake imeishia hapo
Acha Porojo hakuna asie na matatizo
Pesa haitatui matatizo yote lakini inatatua matatizo mengi sana yanayotusumbua.
Ukiwa na pesa hata figo zikiharibika huna mawazo ya bei ya kubadili, Maskini safari yake imeishia hapo
Acha kujifaliji dogoWatu maskini wanaamini matatizo yao yoote yataisha wakipata pesa. Huamini hata kukosa mademu ni sababu ya wao kutokuwa na hela.
Siki ukipata pesa za kutosha utanielewa. Ila kama huna endelea kubisha
Tatizo lake kubwa huyu pamoja na kuwa na mchapa kazi ila ni mason hapo ndio panapomvuruga.Kweli kuwa Bilionea siyo mwisho wa matatizo. Angalia mahusiano mabaya ya Elon Musk dhidi ya wanafamilia wake:-
1. Wake wa Zamani
Elon Musk amewahi kuoa mara mbili kwa wanawake wawili tofauti:
- Justine Musk (2000–2008): Justine alikuwa mke wa kwanza wa Musk, na walizaa watoto watano pamoja (mapacha na mapacha watatu). Mtoto wao wa kwanza, Nevada, alifariki kutokana na ugonjwa wa ghafla wa watoto wachanga (SIDS). Talaka yao haikuwa nzuri, na Justine baadaye alieleza ndoa yao kama iliyojaa changamoto za kihisia. Alisema alihisi kufunikwa na mafanikio na malengo makubwa ya Musk.
- Talulah Riley (2010–2012, 2013–2016): Musk alimuoa mwigizaji wa Uingereza Talulah Riley mara mbili. Walifunga ndoa mara ya kwanza mwaka 2010, wakatalikiana mwaka 2012, kisha wakaolewa tena mwaka 2013 kabla ya kutalikiana tena mwaka 2016. Uhusiano wao ulikuwa wa kirafiki zaidi kuliko ndoa yake ya kwanza, na Riley alisema wanaendelea kuwa marafiki.
2. Mwanaye mvulana aliyejigeuza kuwa mwanamke, na kisha kutenga na Elon Musk
Binti wa Elon Musk, Vivian Jenna Wilson, alijitenga naye kabisa baada ya kubadili jinsia. Aliomba rasmi kubadilisha jina lake mwaka 2022 enzi hizo akiitwa Xavier Musk, akisema hataki tena kuhusiana na baba yake. Ingawa Musk amesema uhusiano wao uliharibika kwa sababu ya "itikadi kali za kisasa," inaonekana kuwa kuna sababu kubwa zaidi. Ripoti zinasema kuwa Vivian amekata mawasiliano kabisa na baba yake.
3. Baba yake, Errol Musk
Elon ana uhusiano mgumu na wa mvutano na baba yake, Errol Musk. Amewahi kumuelezea baba yake kama mtu mgumu na wakati mwingine mkatili, akisema kwamba alikulia katika mazingira magumu. Errol naye ametoa kauli tata kuhusu Elon na familia yao. Moja ya mambo yaliyozua mshangao mkubwa ni kwamba Errol alipata mtoto na binti wa kambo wake, jambo ambalo lilimchukiza sana Elon. Ingawa wamekuwa wakizungumza mara kwa mara kwa miaka, uhusiano wao bado haujawa mzuri.
Kuwa na utajiri wa fedha na mali sio kipimo cha mafanikio kwenye maisha......Kweli kuwa Bilionea siyo mwisho wa matatizo. Angalia mahusiano mabaya ya Elon Musk dhidi ya wanafamilia wake:-
1. Wake wa Zamani
Elon Musk amewahi kuoa mara mbili kwa wanawake wawili tofauti:
- Justine Musk (2000–2008): Justine alikuwa mke wa kwanza wa Musk, na walizaa watoto watano pamoja (mapacha na mapacha watatu). Mtoto wao wa kwanza, Nevada, alifariki kutokana na ugonjwa wa ghafla wa watoto wachanga (SIDS). Talaka yao haikuwa nzuri, na Justine baadaye alieleza ndoa yao kama iliyojaa changamoto za kihisia. Alisema alihisi kufunikwa na mafanikio na malengo makubwa ya Musk.
- Talulah Riley (2010–2012, 2013–2016): Musk alimuoa mwigizaji wa Uingereza Talulah Riley mara mbili. Walifunga ndoa mara ya kwanza mwaka 2010, wakatalikiana mwaka 2012, kisha wakaolewa tena mwaka 2013 kabla ya kutalikiana tena mwaka 2016. Uhusiano wao ulikuwa wa kirafiki zaidi kuliko ndoa yake ya kwanza, na Riley alisema wanaendelea kuwa marafiki.
2. Mwanaye mvulana aliyejigeuza kuwa mwanamke, na kisha kutenga na Elon Musk
Binti wa Elon Musk, Vivian Jenna Wilson, alijitenga naye kabisa baada ya kubadili jinsia. Aliomba rasmi kubadilisha jina lake mwaka 2022 enzi hizo akiitwa Xavier Musk, akisema hataki tena kuhusiana na baba yake. Ingawa Musk amesema uhusiano wao uliharibika kwa sababu ya "itikadi kali za kisasa," inaonekana kuwa kuna sababu kubwa zaidi. Ripoti zinasema kuwa Vivian amekata mawasiliano kabisa na baba yake.
3. Baba yake, Errol Musk
Elon ana uhusiano mgumu na wa mvutano na baba yake, Errol Musk. Amewahi kumuelezea baba yake kama mtu mgumu na wakati mwingine mkatili, akisema kwamba alikulia katika mazingira magumu. Errol naye ametoa kauli tata kuhusu Elon na familia yao. Moja ya mambo yaliyozua mshangao mkubwa ni kwamba Errol alipata mtoto na binti wa kambo wake, jambo ambalo lilimchukiza sana Elon. Ingawa wamekuwa wakizungumza mara kwa mara kwa miaka, uhusiano wao bado haujawa mzuri.
Amesolve mwanaye kuwa Punga? Au h
Kwani hakuna wazazi masikini wenye watoto mapunga ?Amesolve mwanaye kuwa Punga? Au hata kusoma hujui?
Kumbe kila kitu nini ?Umesema vyema mkuu, wanadhani pesa ndio kila kitu kumbe sio kweli.