Wajaribu kutrace simu .. akikamatwa mmoja tu .. .. washakwisha Ila ulinzi shirikishi uimarishwe..wakirudi na hasira zao..mtaa hautakalika..

Sent from my TECNO CD6 using JamiiForums mobile app
 
Police warudi kwenye majukumu yao ya msingi. Haiwezekani mtaani hamna police wa doria ila barabarani kila baada ya kilometa moja au mita mitatu unakuta wamerundikana.
 
Police hawawajibiki.ondoa IGP na kamanda wa police Dsm, hawawajibiki.
 

Wameshindwa wazazi majirani Kama wewe na jamii.
 
Kesho RC atatoa tamko akiwa kavaa miwani yake nyeusi 😂😂🥂
 
Wengine wamevaa huku chamanzi usiku wa kuamkia leo pia
 
Wamachinga wamewashinda na hawana silaha za jadi, Sasa ngoja tuone kwa Hawa wenye visu, mapanga na nyembe
 
Jamani huyu sio kuwa ni mwanafunzi tu Bali ni mfanyakazi wa kampuni ya milvik chini ya kitengo Cha sales associate na ni muajiriwa Kwa Zaid ya mwaka so nashangaa tumpe heshima yake pia
 
Juzi walivamia mtaani kwangu mbagala chamazi...wamekata watu mapanga sana....afu siku hzi sio watoto tu...kuna watu wazima pia
 
Serikali pamoja na kukusanya tozo nyingi Kwa raia bado inashindwa kutulinda na panya road.

Tozo Zetu mnaiba basi mtulinde na panya road.

Nipo hapa nauguza majeraha ya Jana.
pole mkuu ndo lile tukio la chamazi kwa mapemba usiku wa kuamkia leo?
 
Akiwa Mkuu wa Mkoa wa DSM, CHADEMA walimchafua sana Makonda na kumsingizia mambo mengi.

Ugaidi,Uuaji, utesaji n.k tena walienda mbali na kumhusisha na dhulma kubwa kubwa,rushwa na upigwaji risasi wa Tundu Lissu.

CHADEMA waliuaminisha Umma kuwa Makonda atakuja shtakiwa kwa makosa yake lukuki kwa namna ambavyo waliyatanabaisha. Nmesubiria kusikia hata kesi moja dhidi ya Makonda kuhusiana na Shutma hizo. Mpaka leo kimya.

Hii inaonesha Makonda alichukiwa na kuonewa sana na Chadema. Huyu jamaa ndo alikuwa punching bag ya Chadema. Baada ya kutokuwa Mkuu wa Mkoa imeonekana kumbe hakuwa a makosa yoyote yale. Issue ilikuwa ni Ukuu wa Mkoa.

Natoa wito Chadema kumwomba Radhi Makonda Paul na kuahidi kuwa hawatarudia tena tabia hizo za kuchafua watu.
View attachment 2357181
 
Tatizo watu ni WAOOOOOGA WAOOOGA au niseme % kubwa ya watu especially wanaume wana vinasaba vya UOGA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…